Sijaona mmasai mlemavu wa kuzaliwa iwe ulemavu wa viungo au wa ngozi

Wapo, niliwahi kusoma na jamaa (jina kapuni) sema alikuwa mtata na mtu wa kulia lia kutaka huruma za walimu. Hata kama kosa ni lake.
 
Wanawaua wakiwa wachanga,hii alinisimulia mmasai pure.
Inakuwa siri ya ukoo ndo maana hakuna murder case baada ya mauaji

Na aliekuwa na mimba naye si alionekana nayo all of a sudden mtoto anazaliwa halafunkichanga hakionekani inabakije siri kwa mazingira yao
 
Huku zanzibar nimemuona mlemavu, tena ni msenge, wenzake wakimfanyia kweli,nilikuwa nikiwaona wakifukuzana wakishikana makalio, huo ndio mchezo wao.

Vijana mtaani walikuwa wakiwafuatilia nyendo zao wakionekana baharini wakishughulikiana
 
Wakuu hivi hii jamii ya wenzetu Ni kwamba imebalikiwa? Au?

Je! Wewe ulishawahi kukutana na Masai mwenye ulemavu!!???

Ukiwa na nia kweli ya kuwaona Wamasai wenye ulemavu nenda u-Masaini! Wamasai wa "mjini" ni wachache sana!
Kama lengo lako lilikuwa ni kutaka kuwapa misaada basi fuatilia links zifuatazo:

1. Volunteer Abroad | Rehabilitation and Therapy | Tanzania | Physical Therapy Volunteer | Huduma ya Walemavu | Monduli Juu

2. Archdiocese of Arusha-Health Care

3. http://www.almc.habari.co.tz/reports/2009_Rehabilitative_Surgery_Annual_Report.pdf

4. Ulemavu na siri kubwa iliyojificha kwa Wamasai-1

5. Handicapped children - Partnerschaft für Afrika

Hizo ni baadhi tu!
 
Hata yule aliyepewa bajaza na mkulu baada ya habari TBC haukumwona!! Aliyekuwa akiendesha baiki kwa mikono??!!!
 
Mimi nimewahi kuwaona sio kumuona....
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom