Umeandika kwa ujasiri sana mkuu.Habar wadau polen na majukum nimeona Mimi kama kijana niwatoe hofu vijana wenzangu kua Si kwel kua Punyeto hupunguza nguvu za kiume Bali huimarisha misuli ya Uume na kuufanya uume kua imara
Mpaka sasa nina zaidi ya miaka 25 nafanya huu mchezo wa kujichua na bado sijaona Madhara ya Aina yeyote Bali naziona faida
Na pia sababu inayo fanya watu wengi waambiwe uongo juu ya starehe ya kupiga Punyeto ni sababu kila anae uza dawa za nguvu za kiume lazima aseme sababu ya kupotea kwa nguvu za kiume ni mwanaume kupiga Punyeto kitu ambacho sio kwel ila Hua wanafanya ivyo kwa sababu wanajua asilimia 80 ya watu wote Dunia hupiga Punyeto ivyo ikitokea una Mapungufu ya nguvu za kiume ambalo labda tatizo ni inshu ya kiafya na tayar ulikua unapiga Punyeto moja kwa moja utaamin kua Punyeto ndio sababu ya wewe kupoteza nguvu za kiume kitu ambacho sio kwel
Msikubali kudanganywa na mtu yeyote juu ya Punyeto sababu Punyeto ni Rafiki yako wa karibu mwenye kuweza kuitibu akil yako na Matamanio yako on time bila athar yeyote
Pia Punyeto inalinda Sana vijana juu ya kesi za ukimw na kubaka
Ili kulishinda pepo la ngono kwa kijana unae baleghe jitaid asubui piga bao moja au mbili Mchana moja usiku mbil ukifata io Ratiba kama inavyo taka vizur na ukafika Mshindo kwa asilimia kubwa hukata tamaa ya kumtaman mwanamke na kuweza kukusaidia wewe kufanya mambo yako bila shida yoyote Ile pia kwa wale wote ambao husumbuliwa na matatizo ya kutopata usingiz usiku unaweza jitaid kila unapo taka kulala fanya one time nakuakikishia huchukui nusu saa kama huto kua na mambo mengi
Uzi huu ni Elim sijautoa kwa Nia mbaya ningeomba usifutwe kama Kuna neno Kal ni bora mlirekebishe Asanteni
AiseeweeeNa waambie kabisa waache nyeto kuifananisha na mademu wapumbavu wagawa k.
Nyeto is reliable.
Nimeanza nyeto 2002. Huu mwaka wa 19. Watoto ninao wazuri kabisa na show napiga vizuri.
Achana na sisiSubiri ufike miaka hamsini ndio utajua nyeto sio demu.
Hivi wanawake wote Hawa wa Bei chee unashindwa kupata mmoja kwa wiki?
Kuna wl
Yani walauuu hahahahPia ukiachana na starehe kwa maoni ya kitabibu pia puri inaweza kutumika kama kinga kukuepusha na prostate cancer
Watafiti wanashauri upigaji puri unaweza kusaidia kupunguza uwezekano wa kupata prostate cancer ingawa madaktari hawajajua kwanini
Kwa tafiti zilizo fanyika mnamo 2016 iligundulika uwezekano wa kupata prostate cancer ulipungua kwa 20% ya wanaume wanaopiga puri walau mara 21 kwa mwezi.
Kapime bro. Una tatizo lingine. Usisingizie puliUnabishana na mimi mtu niliyesoma CNS physiology na pharmacology kwa ukubwa zaidi?..
Kidding though..hii mkuu ni kweli,na kusahau sio kama ile ya wazee.
Mfano kuna mtu akisoma topic fulani haitaji kurudia rudia sana ili vitu vikae kichwani..sasa ukizoea pull inakuwa tofauti..unakuwa unasoma wiki mbili tu vitu ushavisahau sahau.
Hivi Nelly1 unashabikia sana puli hapo mtaani kwenu au unakofanyia mishe zako hakuna madem au unatatizo la kutongoza ama Ni pesa huna.Umeandika kwa ujasiri sana mkuu.
Kama katibu mkuu wa chaputa nakuvika rasmi cheo cha commander in chief wa chaputa.
Naomba uongoze mapambano juu wa wale wenye roho za chuki na husda na haka ka mchezo ketu.
wamekalia kukasema semaaa haka kamchezo utadhani tunapiga nyeto juu ya Pumbu zao. Wakafie mbele.
UISHI MILELE KIONGOZI..
Macho na mgongo tena? Kivipi?Mimi kwangu madhara ya nyeto kwangu niliyo yaona ni kuhuma macho na mgongo tu.
macho kwa ajili ya kuangalia pornoMimi kwangu madhara ya nyeto kwangu niliyo yaona ni kuhuma macho na mgongo tu.
Madhara makubwa ya nyeto ni kusahau...ukiiendekeza ukiwa masomoni academic perfomance yako itashuka hadi ushangae.
Hayo mengine ni saikolojia tu..lakini hii ya bao tatu plus kwa siku hapana..