Sijaona KIU kwenye kitabu cha TCU, Je hakikidhi viwango?

omoghaka

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
293
166
Nimeona orodha ya Vyuo kutoka TCU ambavyo vimeruhusiwa kudahili wanafunzi wa Undergraduate kwa mwaka wa masomo 2017/2018.KIU sijakiona.Je,hakikidhi viwango vya kutoa Shahada ya Kwanza?

Nina ndugu yangu nataka kumpeleka pale asome Diploma au Certificate.Naomba kujuzwa kama kimeruhusiwa kudahili kwa kiwango hicho cha elimu maana nimetishika sana kutokuwaona kwenye Shahada.

Mwenye uelewa tafadhali naomba msaada wako.
 
Nataka kumpeleka kijana akachukue certificate kwa sababu ni karibu na nyumbani lakini nina mashaka baadaye cheti kisijekuonekana ni feki.
Juzi nilienda kumfanyia application mdogo wangu ya Basic Technician Certificate in Pharmaceutical Sciences, kwenye vigezo unatakiwa kuwa na D kwenye Biology na Chemistry na D mbili kwenye masomo mengine yasiyokuwa ya Dini kwa matokeo ya O-level.

Lakini nilipofika wakaniambia hiyo kozi ukiisoma ukiwa na F ya Physics ukijakutaka kutaka kuendelea kusoma Certificate hautaweza kwa sababu ya F ya Physics.

Nikajaribu kuwauliza kwa nini usiweze kusoma Certificate ilihali ushasoma Basic Certificate ambayo inakuwa ndio kigezo cha kusoma Certificate, sikupewa majibu kuhusu hilo waliendelea kunimbia kuhusu msimamo wao.

Sasa kulingana na jambo hilo Basic Technician Certificate yao ni batili endapo ukiisoma chuo hicho.
Maana wanakupa tahadhari bila sababu za msingi.
 
Juzi nilienda kumfanyia application mdogo wangu ya Basic Technician Certificate in Pharmaceutical Sciences, kwenye vigezo unatakiwa kuwa na D kwenye Biology na Chemistry na D mbili kwenye masomo mengine yasiyokuwa ya Dini kwa matokeo ya O-level.

Lakini nilipofika wakaniambia hiyo kozi ukiisoma ukiwa na F ya Physics ukijakutaka kutaka kuendelea kusoma Certificate hautaweza kwa sababu ya F ya Physics.

Nikajaribu kuwauliza kwa nini usiweze kusoma Certificate ilihali ushasoma Basic Certificate ambayo inakuwa ndio kigezo cha kusoma Certificate, sikupewa majibu kuhusu hilo waliendelea kunimbia kuhusu msimamo wao.

Sasa kulingana na jambo hilo Basic Technician Certificate yao ni batili endapo ukiisoma chuo hicho.
Maana wanakupa tahadhari bila sababu za msingi.

Kama ni hivyo hiki chuo kiangaliwe vizuri maana kinaweza kutuletea shida.Ninavyojua Wizara ya Afya imetoa muongozo wa Kozi za Afya.Kiujumla kama una "F" kwenye Somo lolote kati ya Chemistry,Biology na Physics ni ngumu sana kupata udahili.Kama wao wanakubali ina maana wana mpango wa kukuibia maana cheti hakitatambulika.
Baada ya kuona Chuo hakipo TCU nimepata shida sana.Hata Juzi nilipoenda kupata Matibabu Hospital ya Rugambwa na kuwakuta Wanafunzi wa KIU wanafanya Mazoezi nilikosa Amani kabisa.Nilihisi siwezi kupata matibabu stahili.
 
Kuna thread moja ilitoka kama sikosei inadai kkuwa TCU walikosea na mawasiliano yamefanyika ili kurekebisha makosa haya. Nafiliri kuna watu waliona!
 
Kuna thread moja ilitoka kama sikosei inadai kkuwa TCU walikosea na mawasiliano yamefanyika ili kurekebisha makosa haya. Nafiliri kuna watu waliona!

Kama ni makosa yamefanyika TCU yasahihishwe haraka maana huu ndio muda wa Application.
Sie wengine imani imetutoka kabisa.
 
Mwenye Guide Book ya vyuo vinavyoruhusiwa kutoa Diploma au Certificate ya Sheria anisaidie.
 
Nimeona orodha ya Vyuo kutoka TCU ambavyo vimeruhusiwa kudahili wanafunzi wa Undergraduate kwa mwaka wa masomo 2017/2018.KIU sijakiona.Je,hakikidhi viwango vya kutoa Shahada ya Kwanza?

Nina ndugu yangu nataka kumpeleka pale asome Diploma au Certificate.Naomba kujuzwa kama kimeruhusiwa kudahili kwa kiwango hicho cha elimu maana nimetishika sana kutokuwaona kwenye Shahada.

Mwenye uelewa tafadhali naomba msaada wako.
1edd7a58ea474345107eb9302f519965.jpg
 
Back
Top Bottom