Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,214
- 1,638
Ndio amesema, ni mawazo yake. Anayo haki hiyo. Ukweli anaujua mwenyewe"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19