mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,377
- 3,825
Wao wako kwenye madaraka hakuna haja ya kupaparika. Wapige kaxi.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Huyu boya anajiaibisha sasa..Kwa hisani ya shule ya uongozi 🐒
View attachment 1970242
Lakini ni kama kakaa miaka 7... Maana kalifunika jiwe parefuu
"Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Amesema kutokana na Utendaji wa Rais Samia Suluhu Anaupiga Mwingi Kama Vijana wanavyoendelea kusema na Mungu akijaalia Ataifikisha Vizuri Tanzania Mwaka 2025 na Mungu akijaalia atamaliza Salama Mwaka 2030" Ameyasema hayo Kwenye Kampeni ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVICO19