Wakati Bunge likiendelea na Mijadala kuhusu Wizara za Nishati na Madini, na ile ya Uchukuzi, Naibu Spika Job Ndugai alikuwa mtulivu na mwenye hekima tele kiasi cha my wife wangu kumsifia kuwa Ndugai ameanza kuwa na hekima mara baada ya Mbunge mmoja kumaliza kuchangia na Naibu Spika kusema; "Mheshimiwa Tunmdu Lissu, nimekuona, nitakupa nafasi mwishoni...."
Kiichonishangaza hadi anaahirisha kikao, Naibu Spika hakumpa nafasi Mheshimiwa Tundu Lissu, nimeshangaa na kujiuliza maana yake nini.
Kiichonishangaza hadi anaahirisha kikao, Naibu Spika hakumpa nafasi Mheshimiwa Tundu Lissu, nimeshangaa na kujiuliza maana yake nini.