Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Wakuu kama mmeona jioni ya leo bungeni kupitia TBC 2 alichosema juliana shoza kama kuna mtu kamuelewa binafsi sijaona akitaja vifungu vya sheria husika kama walivyosema wenzie ila nimeshuhudia tu akimshambulia Mbowe na lowasa tu na baadae kuunga mkono hoja