Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Habari ya mapimziko.
Mapenzi ni ujinga na ujinga huu ndio unaonisumbua.
Ni kawaida yetu mimi na wangu mwandani kunyoana kila jumamosi ya katikati ya mwezi na mwishoni mwa mwezi.
Kilichonikera jana usiku baada ya kuoga nikawa namsubiri mwenzangu aje tunyoe kisha tulale.
Alipokuja nikashangaa mwenzangu ana upara, nikamuuliza umekuaje, akanijibu eti amenyoa alipo enda saluni.
Kwa kweli nimeishiwa nguvu, maana nahisi sio muaminifu, hivi ni saluni gani wanayonyoa nywele za kwapani na za uvunguni?
Mapenzi ni ujinga na ujinga huu ndio unaonisumbua.
Ni kawaida yetu mimi na wangu mwandani kunyoana kila jumamosi ya katikati ya mwezi na mwishoni mwa mwezi.
Kilichonikera jana usiku baada ya kuoga nikawa namsubiri mwenzangu aje tunyoe kisha tulale.
Alipokuja nikashangaa mwenzangu ana upara, nikamuuliza umekuaje, akanijibu eti amenyoa alipo enda saluni.
Kwa kweli nimeishiwa nguvu, maana nahisi sio muaminifu, hivi ni saluni gani wanayonyoa nywele za kwapani na za uvunguni?