johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Shule ya msingi Mlowa iliyopo Itigii wilayani Manyoni mkoani Singida kuna upungufu wa madarasa ambapo wanafunzi 125 wanakaa katika darasa moja
Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 2200).
Source: ITV habari
My take; tsh 48 bilioni za Tozo zisiwasahau wanafunzi hawa
Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 2200).
Source: ITV habari
My take; tsh 48 bilioni za Tozo zisiwasahau wanafunzi hawa