S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,590
- 32,672
Hongera sana baba yetu... Jitahidi sana uenende katika hekima sasaHahahaaaa..... Tumekula chumvi kwa neema ya Mungu bwashee!
Hongera sana baba yetu... Jitahidi sana uenende katika hekima sasaHahahaaaa..... Tumekula chumvi kwa neema ya Mungu bwashee!
Huu mtazamo ndio Sasa tunapaswa kuwa nao bila kujali upande wa CCM au CDM.Siasa siyo uadui bwashee!
Punguza hasira kakaWe lizombie mpk now hujui hili na unajitutumia shamelessly?Kwa hyo wanapokea toka kwa bb yako?Amiri jeshi mkuu ni nani?
Amina!Hongera sana baba yetu... Jitahidi sana uenende katika hekima sasa
Nimekuelewa bwashee!Huu mtazamo ndio Sasa tunapaswa kuwa nao bila kujali upande wa CCM au CDM.
TATIZO moja kwa CCM hawamini kuwa uongozi Ni kwa zamu na wananchi ndio wanaopanga zamu iwe ya Nani.
Wao wanaamini wananchi Ni lazima wawape wao zamu zote za kuongiza.
Na wasipowapa Basi watajipa wenyewe kwa lazima, na hapa ndipo kwenye shida!