Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Habarini wapendwa,
Niko njiani kuelekea Kigoma kwa kina Brother K ila huu utaratibu wa kugagua vitambulisho hapa Uvinza naona kama hawa jamaa hawako serious.
Wamekuja jamaa wawili wakaomba vitambulisho wenzangu wakatoa, wengine wakasema sijui wamesahau, wengine sijui nini, kila mtu na sababu yake, alipofika kwangu jamaa akaniangalia alafu akaniuliza kwema? Nikamwambia kwema alafu akapita hakunidai.
Sasa sijajua ametumia kigezo gani kunipita mimi? Au the way naonekana, nilivyo shave au nimekaa kama wazee wa suti nyeusi na repel kwenye sikio? Au amejihakikishiaje mimi si mkimbizi labda au?
By the way sina vitambulisho vyote nilipoteza wallet ila niko na lost repot ya kadi za bank na driving lisence na sikutoa chochote.
Swali lipo hapa, hawa jamaa wapo serious na kazi yao? Au wanafanya kwa mazoea? Maana najiuliza kwanini wamemuuliza mwenzangu mimi wanisalimie tu wasiniulize?
Wajuvi wa mambo embu nielewesheni hili.
Niko njiani kuelekea Kigoma kwa kina Brother K ila huu utaratibu wa kugagua vitambulisho hapa Uvinza naona kama hawa jamaa hawako serious.
Wamekuja jamaa wawili wakaomba vitambulisho wenzangu wakatoa, wengine wakasema sijui wamesahau, wengine sijui nini, kila mtu na sababu yake, alipofika kwangu jamaa akaniangalia alafu akaniuliza kwema? Nikamwambia kwema alafu akapita hakunidai.
Sasa sijajua ametumia kigezo gani kunipita mimi? Au the way naonekana, nilivyo shave au nimekaa kama wazee wa suti nyeusi na repel kwenye sikio? Au amejihakikishiaje mimi si mkimbizi labda au?
By the way sina vitambulisho vyote nilipoteza wallet ila niko na lost repot ya kadi za bank na driving lisence na sikutoa chochote.
Swali lipo hapa, hawa jamaa wapo serious na kazi yao? Au wanafanya kwa mazoea? Maana najiuliza kwanini wamemuuliza mwenzangu mimi wanisalimie tu wasiniulize?
Wajuvi wa mambo embu nielewesheni hili.