Sijaelewa Tundu Lissu alipata wapi Ujasiri wa kumkosoa Magufuli hadharani akiwa hai. Sasa naona mbwa koko ndio Wanabweka

kuna wakati mambo kama hayo hayaepukiki ili watu wakae kwenye mstari...kuna wapumbavu wanahitaji unyama ili watambue wanaishi kwenye nchi yenye watu zaidi ya 60m na wote wanahitaji kufaidika na nchi yao..
Sawa Watakutana huko waliko sasa
 
unaweza kutoa ushahidi usio na shaka yeye ndio aliagiza atandikwe risasi...?

Nikatoe ushahidi kwenye taasisi ipi iliyobaki safi hapa nchni? Chini ya taasisi huru ambayo sio ya hapa nchini, ndani ya Lisaa limoja ushahidi wote utakuwa mezani. Unaanza na aliyeagiza askari wa getini kuondoka muda wa shambulio la Lisu, wengine wote watapatikana mpaka source ya maagizo ilipoanzia.
 
acha ubishi, ingia mtaani fanya uchunguzi mwenyewe utapata majibu...watu walimuamini sana JPM na waliamini angeweza kufanya kitu katika nchi hii...sihitaji kubishana na wewe huo ndio ukweli...fanya research kwa watu wakawaida na wachini ambao ndio wengi katika Taifa hili utapata majibu..

Binafsi nilitofautiana na JPM kwenye baadhi ya sera zake lakini kuna mahala niliamini aliuweza hii nchi na angendelea basi uelekeo ungekuwa mzuri...

Ndani ya hii miezi ambayo JPM hayupo tumeshuhudia mengi sana ya hovyo kuanzia watu kushindwa kuwajibika, kushuka kwa nidhamu makazini, watu kuanza kulipana posho na masemina mikoani nk..
sasa tunafanyaje?
 
JPM alikuwa ni Rais bora ambaye kuna sehemu muhimu nchi ilimhitaji sana kuliko mapungufu yake ambayo yalisabishw na lack of controll maeneo fulani....

Binafsi nimefanya research juu ya mapenzi ya watu kwa huyu bwana, ukweli uliowazi JPM anaishi kwenye mioyo ya watu wengi saaana..

Ni leo tu usiku huu nimepita moja ya barabara maeneo fulani ambayo naamini ni feeder load, nikasema mbele za watu serikali inapaswa kujenga hii barabara, majibu ya raia ni "dah si kwa serikali hii angekuwepo jembe JPM angetia lami zote hizi"....hiyo ndio response ya raia

Hata serikali hii ikitaka iwe inaaminiwa basi iachane kabisa na kumsema sema yule jamaa aisee, upende na trust ya watu kwa JPM ilikuwa kubwa sana.....
Madikitetor huwekeza kwa wanyonge huku waKiwanyonga taratibu KWA propaganda
 
Ulizaliwa baada ya Nyerere kufa wewe. Siyo bure. Kifo cha huyo farah mnywa damu za watu, watu walisherehekea.
kila kitu kinakwenda kwa mipango, kasi yake ndio ilifanya watu waamini angeweza kuijenga nayo kama angekuwa hai vs hawa wengine...

Haikuwahi pia kutokea siku za karibuni Rais kufa na watu kuwa na majonzi kama ilivyokuwa kwa JPM, haikuwa kutokea Rais kufa na kuzikwa lakini akaishi kwenye mioyo ya watu...sizungumzii ushabiki hii ni hali halisi...

Tuache ushabiki, pita mitaani aanza kufanya research mwenyewe uone majibu yake...
 
Kiukweli nichukue fursa hii kukiri kuwa Tundu Antipas Lisu ni mwanasiasa mpambanaji wa viwango vya dunia.

Alithubutu kwa ujasiri mkubwa kumshauri na kumkosoa Rais Magufuli wakati wa uhai wake bila uwoga.

Hii ni tofauti na wanasiasa wengine wote wa upinzani ambao walimuogopa sana Magufuli akiwemo Zitto Kabwe ambaye aliogopa kutoka bungeni wakati wabunge wote wa upinzani walipotoka kuwaunga mkono CUF walioonyesha hasira zao kwa maalimu Seif kuporwa ushindi ( tuhuma).

Baada ya Magufuli kutwaliwa ndio Zitto kaanza kumsimanga.

Mwingine ni Nape Nnauye mtoto wa mwanajeshi lakini aliingia Ikulu huku analia na leso ya kujifutia puani mkononi akamshika miguu Rais Magufuli amsamehe kwa kosa la kumsengenya kwenye simu.

Maendeleo hayana vyama!
Tundu lissu ndio kiongozi muoga haijawahi tokea katika historia ya siasa za tanzania., na si mfano mzuri wa kiongozi ambaye ataweza kuleta mabadiliko katika nchi., amekuwa akimkosoa Magufulu kupitia twitter, youtube, DW, VOA afrika na the so called BBC na Aljazeera., hakuweza kumkabili magufuli ata kwa nukta., He is the best coward

Alipigiwa simu na watu fulani siku ya pili yake akakimbilia ubalozi wa ujerumani kutafuta hifadhi ambayo haikuleta tija yoyote kwa watanzania ambao walizunguka Tanzania nzima kuomba kura kama opposition leader, baada ya matokeo ya uchaguzi hakusema neno lolote kwa wapiga kura wake alirudizake Beligum kupitia ubalozi hata thanks hakutoa kwa watu wake.,

Kuondoka kwake gafla kulileta picha kwamba alirudi tanzania kwa kuja kuusaka urais tu ndio iliyokuwa shida yake na sio wanachama na wapenzi ambao wao wamekuwepo miaka yote kutaka nusura ya kutokana na uongozi ambao waliuita uongozi wa kidhalimu. hakufanya lolote., Waliitisha maandamano na siku ya maandamano hata yeye hakutoka., ni kiongozi wa upinzai aliyefeli katika nyanja zote kisiasa

Awali alisema hatarudi Tanzania mpaka serikali iliyo madarakani impe ulinzi lakini kwa urais hakujali kauli yake hii alikuja tu: Swali ni kwanini alikuja? na sasa asije tena? shida ni ilikuwa ni urais tu.

Pamoja na kurudi Ulaya amekuwa akitumia tools nilizozitaja kumkosoa magufuli na aila zake jambo ambalo halikuleta tija yoyote si watanzania wote hufungua youtube na kumsikiliza tundu lissu anasema nini ni kama vile amewatelekeza wanachama na wapenzi wake wa chadema.

Mfano wa kiongozi wa upinzani ambaye ambaye aliishi na wananchi kwa hali zote na bado hajatokea katika siasa za Tanzania alikuwa ni Maalim Seif peke yake., maalim seif alifungwa jela lakini alipotoka hakukimbia nchi., alitishwa sana mpaka kufikia kutiliwa sumu lakini hakukimbia nchi siku zote alikuwa upande wa wanachama wake na wazanzibari.

Maalim mpaka dakika ya mwisho hakuogopa kuita waandishi wa habari na kutoa dukuduku lake kukosoa serikali zote mbili muda wowote mahali popote, He was a fighter.

Alikuwa na infulence kubwa huko tunakokuita ulaya lakini alirudi Zanzibar kuishi na wazanzibari wakati wote.

Tundu lissu ana mfano wa Mange Kimambi au Kigogo kukosoa kupitia mitandao lakini hakusubutupo kuchomoza pua yake akiwa hapa Tanzania., ni kiongozi aliyefeli kisiasa., ni mwanasheria mzuri na nadhan angebaki katika eneo hilo siku zote otherwise Chadema wafanye wanavyofanya Lissu hawez kuwa mfano wa kiongozi mzuri.,

Bobi Wine na Bassigye wa Uganda licha ya hila na mateso yote bado wamo ndani ya ardhi ya Uganda hakuna aliyekimbia nchi., Tundu Lissu ni kiongozi muoga nchi kama tanzania hutaweza kuongoza kwa youtube., it is a big shame kwa Tundu Lissu ingawa naipenda Chadema

On top of that seniour leader Mbowe ambaye huyu ni mwenyekiti wa chama Taifa sasa yupo jela kwa kile kinachodaiwa kubambikiwa kesi ya ugaidi Tundu Antipas Lissu ana moyo gani huko aliko asije kuungana na wenzake hapa Tanzania kuonyesha angalau kuguswa na huyu mwenyekiti wake au kama ni jela basi waende wote bado amebaki ulaya anatuma clips za youtub zitasaidia nini.
 
Kiukweli nichukue fursa hii kukiri kuwa Tundu Antipas Lisu ni mwanasiasa mpambanaji wa viwango vya dunia.

Alithubutu kwa ujasiri mkubwa kumshauri na kumkosoa Rais Magufuli wakati wa uhai wake bila uwoga.

Hii ni tofauti na wanasiasa wengine wote wa upinzani ambao walimuogopa sana Magufuli akiwemo Zitto Kabwe ambaye aliogopa kutoka bungeni wakati wabunge wote wa upinzani walipotoka kuwaunga mkono CUF walioonyesha hasira zao kwa maalimu Seif kuporwa ushindi ( tuhuma).

Baada ya Magufuli kutwaliwa ndio Zitto kaanza kumsimanga.

Mwingine ni Nape Nnauye mtoto wa mwanajeshi lakini aliingia Ikulu huku analia na leso ya kujifutia puani mkononi akamshika miguu Rais Magufuli amsamehe kwa kosa la kumsengenya kwenye simu.

Maendeleo hayana vyama!
Huna sifa ya kumjadili Tundu Lissu ni level nyingine. Alikosoa hadi kifo kilitaka kumwondoa kabla ya Muda.
 
Tundu lissu ndio kiongozi muoga haijawahi tokea katika historia ya siasa za tanzania., na si mfano mzuri wa kiongozi ambaye ataweza kuleta mabadiliko katika nchi., amekuwa akimkosoa Magufulu kupitia twitter, youtube, DW, VOA afrika na the so called BBC na Aljazeera., hakuweza kumkabili magufuli ata kwa nukta., He is the best coward

Alipigiwa simu na watu fulani siku ya pili yake akakimbilia ubalozi wa ujerumani kutafuta hifadhi ambayo haikuleta tija yoyote kwa watanzania ambao walizunguka Tanzania nzima kuomba kura kama opposition leader, baada ya matokeo ya uchaguzi hakusema neno lolote kwa wapiga kura wake alirudizake Beligum kupitia ubalozi hata thanks hakutoa kwa watu wake.,

Kuondoka kwake gafla kulileta picha kwamba alirudi tanzania kwa kuja kuusaka urais tu ndio iliyokuwa shida yake na sio wanachama na wapenzi ambao wao wamekuwepo miaka yote kutaka nusura ya kutokana na uongozi ambao waliuita uongozi wa kidhalimu. hakufanya lolote., Waliitisha maandamano na siku ya maandamano hata yeye hakutoka., ni kiongozi wa upinzai aliyefeli katika nyanja zote kisiasa

Awali alisema hatarudi Tanzania mpaka serikali iliyo madarakani impe ulinzi lakini kwa urais hakujali kauli yake hii alikuja tu: Swali ni kwanini alikuja? na sasa asije tena? shida ni ilikuwa ni urais tu.

Pamoja na kurudi Ulaya amekuwa akitumia tools nilizozitaja kumkosoa magufuli na aila zake jambo ambalo halikuleta tija yoyote si watanzania wote hufungua youtube na kumsikiliza tundu lissu anasema nini ni kama vile amewatelekeza wanachama na wapenzi wake wa chadema.

Mfano wa kiongozi wa upinzani ambaye ambaye aliishi na wananchi kwa hali zote na bado hajatokea katika siasa za Tanzania alikuwa ni Maalim Seif peke yake., maalim seif alifungwa jela lakini alipotoka hakukimbia nchi., alitishwa sana mpaka kufikia kutiliwa sumu lakini hakukimbia nchi siku zote alikuwa upande wa wanachama wake na wazanzibari.

Maalim mpaka dakika ya mwisho hakuogopa kuita waandishi wa habari na kutoa dukuduku lake kukosoa serikali zote mbili muda wowote mahali popote, He was a fighter.

Alikuwa na infulence kubwa huko tunakokuita ulaya lakini alirudi Zanzibar kuishi na wazanzibari wakati wote.

Tundu lissu ana mfano wa Mange Kimambi au Kigogo kukosoa kupitia mitandao lakini hakusubutupo kuchomoza pua yake akiwa hapa Tanzania., ni kiongozi aliyefeli kisiasa., ni mwanasheria mzuri na nadhan angebaki katika eneo hilo siku zote otherwise Chadema wafanye wanavyofanya Lissu hawez kuwa mfano wa kiongozi mzuri.,

Bobi Wine na Bassigye wa Uganda licha ya hila na mateso yote bado wamo ndani ya ardhi ya Uganda hakuna aliyekimbia nchi., Tundu Lissu ni kiongozi muoga nchi kama tanzania hutaweza kuongoza kwa youtube., it is a big shame kwa Tundu Lissu ingawa naipenda Chadema

On top of that seniour leader Mbowe ambaye huyu ni mwenyekiti wa chama Taifa sasa yupo jela kwa kile kinachodaiwa kubambikiwa kesi ya ugaidi Tundu Antipas Lissu ana moyo gani huko aliko asije kuungana na wenzake hapa Tanzania kuonyesha angalau kuguswa na huyu mwenyekiti wake au kama ni jela basi waende wote bado amebaki ulaya anatuma clips za youtub zitasaidia nini.
Maelezo meengii....The less someone knows the longer the explanations.

Umeandika Utopolo.

Tundu Lissu is Ubeatable hata kama humpendi.
 
Watu hao wengi hawafahamu kilicho nyuma ya pazia. Amemuachia mrithi wake mlima mkubwa wa madeni
Alitaka aendelee kuwa rais ili aendelee kuficha ukweli. Yule jamaa angekuwa hai sasa hivi tungekuwa Zimbambwe na Rwanda.
 
acha ubishi, ingia mtaani fanya uchunguzi mwenyewe utapata majibu...watu walimuamini sana JPM na waliamini angeweza kufanya kitu katika nchi hii...sihitaji kubishana na wewe huo ndio ukweli...fanya research kwa watu wakawaida na wachini ambao ndio wengi katika Taifa hili utapata majibu..

Binafsi nilitofautiana na JPM kwenye baadhi ya sera zake lakini kuna mahala niliamini aliuweza hii nchi na angendelea basi uelekeo ungekuwa mzuri...

Ndani ya hii miezi ambayo JPM hayupo tumeshuhudia mengi sana ya hovyo kuanzia watu kushindwa kuwajibika, kushuka kwa nidhamu makazini, watu kuanza kulipana posho na masemina mikoani nk..
Kwanza semina na kulipana posho sio dhambi hizo ni pesa zinarudi kwenye mzunguko hadi mtu wa chini zinamfikia,, barmaid, mchoma chips, muuza nyanya, butcher etc, hiyo ndo consumerism na inasisimua uchumi na hivyo kuongeza uzalishaji,
Tatizo mnataka mabadiliko ya hali kwa haraka mno, SSH hana hata miezi 10 lakini watu tayari wanataka awe na SGR yake, flyover yake, etc,,
Huu ni unafiki tu na roho za kwanini.
Uwajibikaji wa kina bashite kuvamia radio, au kunyang'anya matajiri mali zao ndo uwajibikaji gani huo?
Eti maji yamepungua kina , kuna mgao, waziri ambae hana hata wiki tatu ofisini, anamwahiwa lawama zote, HUU NI UPUMBAFU NEXT LEVEL...
 
Acha unafiki wewe.
Zitto ndiye aliyeongoza Jahazi la kumkosoa Magufuli kipindi Lissu yuko hospitali.

Zitto ndiye aliyemwambia Magufuli wazi kuwa awe makini maana akizuia uhuru wa watu kusema na kuibana demokrasia, watu wanaweza kutafuta njia ya kumtoa ikiwemo mapinduzi

Zitto ndiye aliyeongoza chambuzi nyingi za kukosoa mwenendo wa kiuchumi wa Magufuli, kumbuka chambuzi za ripoti za CAG

Zitto ndiye aliyeibua hoja ya Trillion 1.5, ishu iliyoiyumbisha sana serikali ya Magufuli

Zitto ndiye aliyeibua taarifa kuwa zaidi ya wananchi 400 wameuawa nadhani ni Kigoma au Kibiti

Zitto alifanya kazi nzuri sana ya kuushika mashati utawala wa Magufuli enzi hizo Lissu yuko hospitali
Uko sahihi kabisa mkuu,zito ni mmoja wa wanasiasa waliyemkosoa Magufuli waziwazi na bila uoga
 
Watu wengi wameshaamka ndio maana baada ya kuona box la kura linanajisiwa hawajitokezi tena kupiga kura. Hii idadi ndogo inayojitokeza kwenye vituo vya kura, ni baada ya wananchi kuichoka CCM, ila tume ya uchaguzi na vyombo vya dola vina ushirikiano wa kihalifu kwenye kuchakachua matakwa yao.
Ccm haijaanza jana wala juzi kuiba kura na kila mtu anajua ila bado watu mlikuwa mnaenda kupiga kura kila inapofika uchaguzi, sasa hapo kilichobadilika ni baada watu kuona hata hao mbadala wa ccm nao hawana tofauti na ccm.
 
Walimchukia kwa kulazimisha kuwatawala kwa shuruti.
Ccm imewatawala hadi leo na haitaki kuachia madaraka hata huyo Magufuli kapitia humo humo, hao watu wangekuwa na akili basi hasira zao wangezielekeza kwa ccm maana ndio chanzo cha yote ila sio huku ccm damudamu halafu et umejijaza chuki kwa Magufuli.
 
Waliokuwa sawa kisaikolojia ni walioagiza ashambuliwe kwa risasi? Yeye ana hasira kwa mwendakuzimu kuagiza ashambuliwe kwa risasi ili kumuua. Sasa ulitaka akae kimya bila kumshambulia aliyedhamiria kumuua?
Hao wawili wanafanana upande huo ni basi tu mmoja alikuwa na power na mwengine hana.
 
Back
Top Bottom