Sijaelewa ni kwa nini Lissu anapinga taarifa ya makinikia ya prof. Mruma na Ossoro!

jmchimbadhahabu

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
218
106
Nimejaribu kufuatilia kwa kina taarifa za kamati zote mbili za uchunhuzi wa mchanga wa madini yanayosafirishwa kwenda nje na kampuni ya ACACIA, Binafsi ninaona kama zina ukweli lakini napata shida sana pale ninapomsikiliza Mh.Tundu Lissu akipinga vikali taarifa hizo kwamba zimekuzwa mno na kwamba kiwango cha madini kilichotajwa kupatikana humo SI KWELI!

NO RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK;
Ninaomba nithibitishe kuwa kiwango cha madini(dhahabu tu) cha wastani wa kilo 28-47 katika kila kontena ni KWELI!
Nimekaa kwa muda mrefu sana katika kijiji cha KAKOLA ambacho kipo pembezoni tu mwa mgodi wa Bulyanhulu (1.5km),enzi za miaka ya 2005-2008 kuna deal zilizokuwa zikifanyika kati ya madereva waliokuwa wakisafirisha mchanga kwenye makontena na baadhi ya wakazi wa maeneo hayo ili kupata mchanga huo kwa njia za panya. Kiukweli watu walineemeka sana!

Baada ya kupata mkanganyiko qa taarifa za Mruma na msimamo wa Lissu ilinibidi nifanye UTAFITI mdogo ili kupata walau kujua kuwa ni nani MKWELI?
Ilinibidi nianze kuwatafta baadhi ya watu ambao walikua wanaupata mchanga huo na kuuprocess kwa njia za kienyeji kabisa.
Nilibahatika kuonana na vijana kama watano kwa muda tofauti tofauti amabao walikua wanashiriki na swali la msingi niliokua nawauliza ni JE KATIKA KILA MFUKO WA KILO 50 MLIPATA KIASI GANI CHA DHAHABU?
Majibu yao yalionekana kufanana sana ambapo walidai katika kila mfuko wa kilo 50 walipata wastani wa GRAMS 60-200 ya dhahabu.
Baada ya kujua hivyo ilinibidi kukokotoa ili nijue kontena zima lenye TANI 20 litatoa kiasi gano cha dhahabu?
Kwa kutumia wastani wa chini kabisa nilipata kila kontena GRAMS 24000 ambazo ni sawa na KILO 24, Ikbukwe kuwa hii ni local processing!

Sasa nikijaribu kilinganisha taarifa za Prof Mruma ambapo yeye anasema katika kila kontena la tani 20 lina wastani wa kilo 28-47 tofauti na taarifa za ACACIA zilizodai kuwa kila kontena lina wastani wa kil 3-5 ya dhahabu!

Mpaka hapo nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya viongozi kama Tundu Lissu anapinga taarifa za tume hizo
 
Tatizo nyie mbwa huwa ni wajinga
Hamuelewi kitu
Nyinyi mmeambiwa zile ripoti mmezikopi kutoka zile za zamani

Sidhani kama kamati zilizopita zilichunguza kiwango na aina ya madini yaliyokuwemo kwenye mchanga huo zenyewe zilijikita katika masuala ya kiuchumi na sheria tu
 
Huwez Muelewa labda baada ya miaka 20 ijayo.....Ni ivi Lissu mantiki yake nikua Tusiangaike na Pumba wakati Mchele unaenda matani kwa matani bila monitoring yoyote ile ya maana....Bali Tuangaike na Sheria nzima za uzalishaji wa huo Mchele wenye thamani kubwa kuliko hizo Pumba mnazoziona apo Bandarini kwenye Makontena.... Hushawahi jiuliza Kontena Moja la Pumba Lima kilo ngapi na usishangae wanakwambia ktk kontena moja la Pumba wanapata Mchele kilo 27?????????
 
Huwez Muelewa labda baada ya miaka 20 ijayo.....Ni ivi Lissu mantiki yake nikua Tusiangaike na Pumba wakati Mchele unaenda matani kwa matani bila monitoring yoyote ile ya maana....Bali Tuangaike na Sheria nzima za uzalishaji wa huo Mchele wenye thamani kubwa kuliko hizo Pumba mnazoziona apo Bandarini kwenye Makontena.... Hushawahi jiuliza Kontena Moja la Pumba Lima kilo ngapi na usishangae wanakwambia ktk kontena moja la Pumba wanapata Mchele kilo 27?????????
Sikosoi msimamo wake kuhusu marekebisho ya sera, sheria na kanuni ninachokipinga ni yeye kutaka kuwaaminisha WATZ kuwa zile data sio za kweli!
 
Sidhani kama kamati zilizopita zilichunguza kiwango na aina ya madini yaliyokuwemo kwenye mchanga huo zenyewe zilijikita katika masuala ya kiuchumi na sheria tu


Kama ushauri wao ungesikilizwa wakati uke tusingefika hapa. Tatizo letu ni kuwa wengi tunataka JPM aonekana kafanya ya maana zaidi ya waliomtangulia na ya kuwa Tundu Lisu anatetea wachimbaji wa nje.

HEBU SOMA KILICHOANDIKWA HUMU LABDA UTAELEWA ZAIDI KUWA TINDU LISSU ANAMAANISHA NINI.

http://swahili.policyforum-tz.org/files/ripotiyabomani.pdf
 
Inasemekana Lisu ana mgogoro/mgongano wa kimaslahi kwenye hili suala. Upande mmoja anatakiwa kumtetea mwekezaji ambaye 'amemteua' kuwa wakili kweye huu msala na upande wa pili anatakiwa kuwatetea wananchi ambao wameonekana kunyonywa kwa kipindi kirefu kwenye sekta ya madini.
Sasa kachanganyikiwa, hajui aende kushoto au kulia. Kwa kweli muombee tu!
 
Hata serikali huwa haimuelewi Lissu. Imechukua miaka kama 19 kumuelewa. Imechukua mpaka marais watatu wa CCM kuelewa kuwa sheria zetu za madini ni mbovu. Nitasubiri miaka mingine 20 ndi mumuelewe Lissu na wenzake.
 
Nimejaribu kufuatilia kwa kina taarifa za kamati zote mbili za uchunhuzi wa mchanga wa madini yanayosafirishwa kwenda nje na kampuni ya ACACIA, Binafsi ninaona kama zina ukweli lakini napata shida sana pale ninapomsikiliza Mh.Tundu Lissu akipinga vikali taarifa hizo kwamba zimekuzwa mno na kwamba kiwango cha madini kilichotajwa kupatikana humo SI KWELI!

NO RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK;
Ninaomba nithibitishe kuwa kiwango cha madini(dhahabu tu) cha wastani wa kilo 28-47 katika kila kontena ni KWELI!
Nimekaa kwa muda mrefu sana katika kijiji cha KAKOLA ambacho kipo pembezoni tu mwa mgodi wa Bulyanhulu (1.5km),enzi za miaka ya 2005-2008 kuna deal zilizokuwa zikifanyika kati ya madereva waliokuwa wakisafirisha mchanga kwenye makontena na baadhi ya wakazi wa maeneo hayo ili kupata mchanga huo kwa njia za panya. Kiukweli watu walineemeka sana!

Baada ya kupata mkanganyiko qa taarifa za Mruma na msimamo wa Lissu ilinibidi nifanye UTAFITI mdogo ili kupata walau kujua kuwa ni nani MKWELI?
Ilinibidi nianze kuwatafta baadhi ya watu ambao walikua wanaupata mchanga huo na kuuprocess kwa njia za kienyeji kabisa.
Nilibahatika kuonana na vijana kama watano kwa muda tofauti tofauti amabao walikua wanashiriki na swali la msingi niliokua nawauliza ni JE KATIKA KILA MFUKO WA KILO 50 MLIPATA KIASI GANI CHA DHAHABU?
Majibu yao yalionekana kufanana sana ambapo walidai katika kila mfuko wa kilo 50 walipata wastani wa GRAMS 60-200 ya dhahabu.
Baada ya kujua hivyo ilinibidi kukokotoa ili nijue kontena zima lenye TANI 20 litatoa kiasi gano cha dhahabu?
Kwa kutumia wastani wa chini kabisa nilipata kila kontena GRAMS 24000 ambazo ni sawa na KILO 24, Ikbukwe kuwa hii ni local processing!

Sasa nikijaribu kilinganisha taarifa za Prof Mruma ambapo yeye anasema katika kila kontena la tani 20 lina wastani wa kilo 28-47 tofauti na taarifa za ACACIA zilizodai kuwa kila kontena lina wastani wa kil 3-5 ya dhahabu!

Mpaka hapo nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya viongozi kama Tundu Lissu anapinga taarifa za tume hizo
Nadhani Lisu hajapinga. Amekosoa kuwa mapendekezo yato yamerola ripori za nyuma na akaonyesha some of those report. Dta yake inatofautiana na ripoti za nyuma... controversy
 
Nimejaribu kufuatilia kwa kina taarifa za kamati zote mbili za uchunhuzi wa mchanga wa madini yanayosafirishwa kwenda nje na kampuni ya ACACIA, Binafsi ninaona kama zina ukweli lakini napata shida sana pale ninapomsikiliza Mh.Tundu Lissu akipinga vikali taarifa hizo kwamba zimekuzwa mno na kwamba kiwango cha madini kilichotajwa kupatikana humo SI KWELI!

NO RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK;
Ninaomba nithibitishe kuwa kiwango cha madini(dhahabu tu) cha wastani wa kilo 28-47 katika kila kontena ni KWELI!
Nimekaa kwa muda mrefu sana katika kijiji cha KAKOLA ambacho kipo pembezoni tu mwa mgodi wa Bulyanhulu (1.5km),enzi za miaka ya 2005-2008 kuna deal zilizokuwa zikifanyika kati ya madereva waliokuwa wakisafirisha mchanga kwenye makontena na baadhi ya wakazi wa maeneo hayo ili kupata mchanga huo kwa njia za panya. Kiukweli watu walineemeka sana!

Baada ya kupata mkanganyiko qa taarifa za Mruma na msimamo wa Lissu ilinibidi nifanye UTAFITI mdogo ili kupata walau kujua kuwa ni nani MKWELI?
Ilinibidi nianze kuwatafta baadhi ya watu ambao walikua wanaupata mchanga huo na kuuprocess kwa njia za kienyeji kabisa.
Nilibahatika kuonana na vijana kama watano kwa muda tofauti tofauti amabao walikua wanashiriki na swali la msingi niliokua nawauliza ni JE KATIKA KILA MFUKO WA KILO 50 MLIPATA KIASI GANI CHA DHAHABU?
Majibu yao yalionekana kufanana sana ambapo walidai katika kila mfuko wa kilo 50 walipata wastani wa GRAMS 60-200 ya dhahabu.
Baada ya kujua hivyo ilinibidi kukokotoa ili nijue kontena zima lenye TANI 20 litatoa kiasi gano cha dhahabu?
Kwa kutumia wastani wa chini kabisa nilipata kila kontena GRAMS 24000 ambazo ni sawa na KILO 24, Ikbukwe kuwa hii ni local processing!

Sasa nikijaribu kilinganisha taarifa za Prof Mruma ambapo yeye anasema katika kila kontena la tani 20 lina wastani wa kilo 28-47 tofauti na taarifa za ACACIA zilizodai kuwa kila kontena lina wastani wa kil 3-5 ya dhahabu!

Mpaka hapo nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya viongozi kama Tundu Lissu anapinga taarifa za tume hizo
siku ukijifunza kusoma, kuelewana na kufikiria kwa mapana utaelewa nyie ni wale mnaopewa elf 9 hapo lumumba
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom