Sijaelewa kwanini William Malecela anataka tuwe na East African common visa

i pad3

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,518
378
East African common visa haitufai kwani kuna mambo mengi sisi kama Tanzania hatujajizatiti..kama mambo ya earlines etc.
why William ameshindwa kujibu swali langu anadai eti mambo ya woga yamepitwa na wakati? anadai eti inabidi tuwe nayo ili tuwe na free movements...sijaelewa naomba mwenye kunielewesha vizuri anipe nondo zaidi
 
anaangalia tendo na free movement kama ni faida wakati wote bila kujari matokea hasi na kwa kiasi nchi imejiandaa.

ndio aina ya wabunge tunaotegemea kutulinda kwenye jumuia ni mamluki na vibaraka wa sera za kigeni.
 
Sijapitia comments zake zote, lakini kama kweli anapigia debe hii free movement of labour na common visa basi hafai. Hafai kabisa. Tanzania kuna tatizo la ajira sana sana. Lazima kuwepo na juhudi za makusudi kulinda walau soko dogo la ajira lilopo. Labda kama special skills ambazo watu hawapatikani hapa lakini hii ya kusema tufungue milango ni kujitakia balaa.

Very disppointed.
 
we bwana acha kutujazia server, kama hujaelewa m-PM atakujibu kwa kukuelewesha kwa kituo wala hana noma. sasa unatuambia sisi tukusaidie nini? tumjibie??
 
East African common visa haitufai kwani kuna mambo mengi sisi kama Tanzania hatujajizatiti..kama mambo ya earlines etc.
why William ameshindwa kujibu swali langu anadai eti mambo ya woga yamepitwa na wakati? anadai eti inabidi tuwe nayo ili tuwe na free movements...sijaelewa naomba mwenye kunielewesha vizuri anipe nondo zaidi

Huyo ni ni baharia,... wakishamaliza mafunzo ya hearth and safety and fire fighting wanapata document maalum ambayo Able bodied ataingia nchi yeyote meli itadock bila visa.
Sasa hizo ndio belief zake na yupo kwenye haki yake. Swala hapa ni wataompigia kura wana view gani kuhusu hili.
 
Huyo ni ni baharia,... wakishamaliza mafunzo ya hearth and safety and fire fighting wanapata document maalum ambayo Able bodied ataingia nchi yeyote meli itadock bila visa.
Sasa hizo ndio belief zake na yupo kwenye haki yake. Swala hapa ni wataompigia kura wana view gani kuhusu hili.
kweli kazi ipo
 
East African common visa haitufai kwani kuna mambo mengi sisi kama Tanzania hatujajizatiti..kama mambo ya earlines etc.
why William ameshindwa kujibu swali langu anadai eti mambo ya woga yamepitwa na wakati? anadai eti inabidi tuwe nayo ili tuwe na free movements...sijaelewa naomba mwenye kunielewesha vizuri anipe nondo zaidi

- Mkuu heshima yako sana, ninasema hivi ninaunga mkono idea ya kuwa na one viza kwa EAC kwa sababu hatuwezi kuwa in the EAC halafu tukasema hatutaki viza kwa wananchi wetu, it defeats the whole purpose ya Jumuiya kama hatuwezi kukubali elements kama hizi basi ni vyema tukajitoa kwenye Jumuiya kwa sababu ninataka kuamini kwamba tumepelekwa kwenye Jumuiya kutokana na kuwa politically progressive sasa hizi ideas za politics za fear zinatoka wapi?

- Wa-Tanzania tunahitaji kujizaititi na kujifunza what it takes kwenda mbele, kama Kenya wanatuzidia kwenye utalii then we need to pull our sox na kuwafikia ili tutakapofungua mipaka tuwe kwenye balance, I mean Kenya wana Uwanja mzuri wa ndege na sisi tujenge pia, wao wana media coverage nzuri kwenye utalii na sisi tujitahidi kuwafikia, otherwise tutaishia kubaki kwenye siasa za defensive kila kukicha kulia lia kuhusu Kenya!

- So yes nina-support fully Tanzania kushiriki kwenye one viza kwa sababu ni dhana muhimu sana kwenye kujenga uchumi, na kuondoa distrust among Nation's members, lakini ifanywe kwa utaratibu sana bila mbio mbio!


William.
 
- Mkuu heshima yako sana, ninasema hivi ninaunga mkono idea ya kuwa na one viza kwa EAC kwa sababu hatuwezi kuwa in the EAC halafu tukasema hatutaki viza kwa wananchi wetu, it defeats the whole purpose ya Jumuiya kama hatuwezi kukubali elements kama hizi basi ni vyema tukajitoa kwenye Jumuiya kwa sababu ninataka kuamini kwamba tumepelekwa kwenye Jumuiya kutokana na kuwa politically progressive sasa hizi ideas za politics za fear zinatoka wapi?

- Wa-Tanzania tunahitaji kujizaititi na kujifunza what it takes kwenda mbele, kama Kenya wanatuzidia kwenye utalii then we need to pull our sox na kuwafikia ili tutakapofungua mipaka tuwe kwenye balance, I mean Kenya wana Uwanja mzuri wa ndege na sisi tujenge pia, wao wana media coverage nzuri kwenye utalii na sisi tujitahidi kuwafikia, otherwise tutaishia kubaki kwenye siasa za defensive kila kukicha kulia lia kuhusu Kenya!

- So yes nina-support fully Tanzania kushiriki kwenye one viza kwa sababu ni dhana muhimu sana kwenye kujenga uchumi, na kuondoa distrust among Nation's members, lakini ifanywe kwa utaratibu sana bila mbio mbio!


William.

Safi kwa maelezo yako.
 
- Mkuu heshima yako sana, ninasema hivi ninaunga mkono idea ya kuwa na one viza kwa EAC kwa sababu hatuwezi kuwa in the EAC halafu tukasema hatutaki viza kwa wananchi wetu, it defeats the whole purpose ya Jumuiya kama hatuwezi kukubali elements kama hizi basi ni vyema tukajitoa kwenye Jumuiya kwa sababu ninataka kuamini kwamba tumepelekwa kwenye Jumuiya kutokana na kuwa politically progressive sasa hizi ideas za politics za fear zinatoka wapi?

- Wa-Tanzania tunahitaji kujizaititi na kujifunza what it takes kwenda mbele, kama Kenya wanatuzidia kwenye utalii then we need to pull our sox na kuwafikia ili tutakapofungua mipaka tuwe kwenye balance, I mean Kenya wana Uwanja mzuri wa ndege na sisi tujenge pia, wao wana media coverage nzuri kwenye utalii na sisi tujitahidi kuwafikia, otherwise tutaishia kubaki kwenye siasa za defensive kila kukicha kulia lia kuhusu Kenya!

- So yes nina-support fully Tanzania kushiriki kwenye one viza kwa sababu ni dhana muhimu sana kwenye kujenga uchumi, na kuondoa distrust among Nation's members, lakini ifanywe kwa utaratibu sana bila mbio mbio!


William.
hapo sijui ulikuwa unamaanisha nini lakini ..ngoja nikutakie kila la kheri kwenye uchaguzi wako wa ubunge
 
Back
Top Bottom