vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,285
- 820
- Thread starter
- #21
Asante kaka kwa kunitia moyoWasikutishe Mdg angu niko Mzumbe, kutusua ukiwa serious ni uhakika karibu sana omba hata HR Ila kuna hesabu Kama baf au BBA ukikaza kuchomoka na first class uhakika ila inatakiwa kujituma hasa msuli wa a level ni mara tano yake