Siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi mkuu 2025

Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.
Wamekosea kumfanya Silo kuwa katibu mwenezi wa chama.

Sasa hapo kete pekee iliyobaki na msajili na tume ya uchaguz
 
Nchi sio chama nchi ni watu
Na hao watu lazima wapate mtu wa kuwaongoza, au unataka nchi iwe kama Sudan or Congo? Kila mtu afanye vile anataka yeye? Upinzani wetu umeonesha udhaifu sana since 2015, hawafai kupewa nchi
 
Ccm hawajawahi kushinda uchaguzi wowote na hiki alithibitisha Mzee Diallo Mwenyekiti wa CCM Mkoa! Akm
 
Upinzani mnasubiri hadi CCM iwaandalie mtu aje kuwavuruga ndipo mtie akili. Hamkujifunza kwa Lowassa, Sumaye, Membe sasa mnamsubiri Diallo.
 
Hii nchi CHADEMA ikishinda tutaingia kwenye umaskini wa kutisha, kwanza wataanza kula na kugawiana keki ya Taifa hadi waje washibe tutakuwa tumepigika vya kutosha,

Kuendesha nchi sio sawa na kuendesha boda boda, anayebisha tusubiri miaka mitano tuone yule mpendwa wa zambia ndio atakuwa case study
Una mawazo ya ajabu si mchezo.
 
Tatizo la viongozi wa upinzani wanaendesha siasa kama zima moto /utakuja kuona imebaki week moja before uchaguzi ndo wanataka kuingiza barabarani watu kudai tume huru ya uchaguzi,hapo ndo wananichoshaga sana wakati wakati sahihi ni huu
Kwani sasa hivi hawadai hiyo tume?

Hivi hitaji la tume huru ya uchaguzi ni la wapinzani tu ili waweze kushinda uchaguzi au ni la wananchi wote wapate kuchagua viongozi wanaowataka?

Tusijitoe ufahamu kwa kiwango hicho.
 
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.
Kila mtu sasa mnamwita kada wa ccm. Nyie hamuoni tu wananchi hawawakubali? Kama nia yenu pekee ni kushika dola wenzenu ccm wanaleta maendeleo kwa wananchi.
 
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.

Mkuu Nani atapewa Sasa madaraka na kuifanya Tanzania iwe tajiri ghafla. Unadhani tatizo Ni chama. Wewe mfano chama gani. Je umeshawahi toa au kupokea rushwa. Umeshawahi kula hela usiyostahili. Je kipato chako Ni halali. Wazazi wako. Mkeo. Mumeo. Je wala rushwa Tz Ni wanachama tu wa CCM. Wavivu. Wapiga Dili nk. Chama gani kina sera huko Tz. Mmekalia majungu na kudandia hoja.

Toka atoke Slaa CHadema. Hakuna la maana. Mna watu watukanaji na wqnaharakati. Kuweni wastaarabu ili watu wawatofautishe. Ona wewe unakukazana kusema kuhusu uchaguzi wa 2025.

Hiyo hali mbaya lini ilikuwa nzuri. Watz wanafiki sana. Wanaendesha maisha na kula Bata na kuhongana sana. Nilikuja mwaka huu na kukuta bata tu. Sijui wewe unajua kuwa watz hawajawahi kusema wanazo. Na corona hii sijui unashangaa Nini.

Mama anajitajidi katika nafasi yake. Akijenga shule. Barabara. Hospital nk ndo kazi ya Serikali. Sio kukupa wewe hela mfukoni.
 
Kw
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.
Kwani ccm inashinda kwa uchaguzi?
 
Ccm hawajawahi kushinda uchaguzi tangu viruhusiwe vyama vingi Tanzania!!!
 
Kwa tume hii, PoliCCm Na Jeshi nalo ndani, Mahakama ndani utaishindia wapi CCM. Itakuwa ndoto za mchana ndio maana chama chochote makini wanaliona hili ndio kilio cha katiba mpya unachokisia. Katiba iliyopo sasa ni ya chama kimoja hata jinsi ya kutoa madaraka kwa chama tofauti hakujaelezwa ndani ya katiba ya sasa. As far as katiba haiguswi na CCM chama dona kikilindwa na majeshi yote na mahakama hakuna chama chochote kinachoweza kushinda. CCM hoyee, vyama pinzani hawakuiona hilo wakakimbilia kuunda vyama ya siasa ndio maana wanalialia sasa hivi.
Sema ,wapinzani hawajajipanga vizuri.Mbona Zambia wapinzani wameshinda kwa katiba mbovu?Huku kwetu ,hatuna wapinzani tishio.Uchaguzi ukifika,lowassa njoo ugombee.Uchaguzi ukifika Lissu acha kuosha vyombo vya wazungu ,njoo ugombee.Kuna kushinda hapo?
 
Sema ,wapinzani hawajajipanga vizuri.Mbona Zambia wapinzani wameshinda kwa katiba mbovu?Huku kwetu ,hatuna wapinzani tishio.Uchaguzi ukifika,lowassa njoo ugombee.Uchaguzi ukifika Lissu acha kuosha vyombo vya wazungu ,njoo ugombee.Kuna kushinda hapo?
Kwa ukanda wetu katiba yetu hakuna mfano ....
 
Back
Top Bottom