igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,590
- 3,346
Eti huyu ndiye great thinker huko mbogamboga daaah, no wonder miaka 60 baada ya uhuru kule Ubungo wa mama wanauana kwenye kisima cha maji machafu...Hii nchi CHADEMA ikishinda tutaingia kwenye umaskini wa kutisha, kwanza wataanza kula na kugawiana keki ya Taifa hadi waje washibe tutakuwa tumepigika vya kutosha,
Kuendesha nchi sio sawa na kuendesha boda boda, anayebisha tusubiri miaka mitano tuone yule mpendwa wa zambia ndio atakuwa case study