Siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi mkuu 2025

Hii nchi CHADEMA ikishinda tutaingia kwenye umaskini wa kutisha, kwanza wataanza kula na kugawiana keki ya Taifa hadi waje washibe tutakuwa tumepigika vya kutosha,

Kuendesha nchi sio sawa na kuendesha boda boda, anayebisha tusubiri miaka mitano tuone yule mpendwa wa zambia ndio atakuwa case study
Eti huyu ndiye great thinker huko mbogamboga daaah, no wonder miaka 60 baada ya uhuru kule Ubungo wa mama wanauana kwenye kisima cha maji machafu...
 
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.
Unaota mchana. Chaguzi tatu zilizopita CCM haijawahi kushinda, na upinzani haujawahi sogelea gati la ikulu.
 
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.

Kwani lini ulifanyika uchaguzi TZ ?? Labda wakati wa mwingereza kabla uhuru
 
Tuaminike mara 2? Ndio maana tunataka tume huru ya uchaguzi kisha uje ulete mrejesho. Huku kupora uchaguzi ni kwa kuwa ukweli ulioko kwenye box la kura ni kinyume kabisa na matamanio ya ccm


Nyerere ni nani? Kama kweli upinzani wa kweli utatoka ccm tusingeona huu wizi wa kura wa sasa.
Utalala usingizi mzuri nchi ikiwa mikononi mwa Mbowe? Anaichezea katiba ya chama, ya nchi itakuwaje? CCM may not be good kwa sasa, ila hatuna mbadala wake!! Alitakiwa aachie hiyo post miaka 5 iliyopita, but hataki, hamna watu wenye uwezo kama yeye kuongoza chama?
 
Kwa taarifa yako hakuna mwenye akili timamu atashindwa kuongoza nchi hii. Kazi aliyoweza JK na Magufuli nani atashindwa?
Utalala usingizi mzuri nchi ikiwa mikononi mwa Mbowe? Anaichezea katiba ya chama, ya nchi itakuwaje? CCM may not be good kwa sasa, ila hatuna mbadala wake!! Alitakiwa aachie hiyo post miaka 5 iliyopita, but hataki, hamna watu wenye uwezo kama yeye kuongoza chama?
 
Hii nchi CHADEMA ikishinda tutaingia kwenye umaskini wa kutisha, kwanza wataanza kula na kugawiana keki ya Taifa hadi waje washibe tutakuwa tumepigika vya kutosha,

Kuendesha nchi sio sawa na kuendesha boda boda, anayebisha tusubiri miaka mitano tuone yule mpendwa wa zambia ndio atakuwa case study
Ubwege wa kiwango cha SGR huu,nyumbani kwenu mkiwa vilaza haimaanishi na kwa jirani ni vilaza,
 
Kila nikitazama maisha yanavyozidi kua magumu, watu wanavyolia na ugumu wa maisha na hali inazidi kua mbaya kuliko siku za nyuma, siioni imani ya CCM kushinda uchaguzi 2025. Ugumu wa maisha hua ni sababu tosha kukiondoshea mapema chama ukombozi.

Mtapiga watu, wagombea kupitia vyama vya upinzani watapitia mateso makali sana, wataumia sana lakini mwisho wa siku ndogo ndio wakaoongoza taifa kwa msaada wa wananchi waliochoka. Polisi wanaweza kupiga na kuumiza watu lakini hawawezi kulifanya hilo nchi nzima.

Kazi kubwa iliyopo kwa wapinzani na wanaharakati wengine ni kuondoa makada wa CCM kule NEC na wakurugenzi kutosimamia Uchaguzi. Na hilo ni lazima kwa namna yeyote ile haliwezi kuachiwa, hii ni nchi yetu sote.
Ccm wanajivunia na kale kamamchezo kao ,japo ZAMBIA safari hii, kalishindwa
 
Back
Top Bottom