Keyser Söze
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 438
- 612
aliyefaidika sana na Forex trade ni Ontario tu na timu yake.. na faida kaipata kwenye training fees na commission ya broker wa forex.. hii ya commission ameipata indirect kwa akili nyingi sana hakuna mwanafunzi wake hata mmoja anaeweza kujua
Watu tumenyamaza kwa kuwa hatutaki zogo.watu wanapiga money kimya kimya mkuu forex ni real
Al watan nakuelewa mnooo vyema mkuuWatu tumenyamaza kwa kuwa hatutaki zogo.
Leo napiga about $800 Futures za Dow Jones Industrial Average on NADEX.
Hiyo kazi ya siku moja tu.
Haina noma mkuu.Al watan nakuelewa mnooo vyema mkuu
Kujaribu kufanya kitu unachoamini maishani ni jambo zuri, lakini kinyume chake ujingaHahaha a pole mkuu inaonekana ulijitahidi kusoma lakini umechsha. Forex is not for everyone
Watu wana roho mbaya kinyamaHakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kusubiri anguko la fulani ambaye hana impact yoyote ile kwenye maisha yako. Sio dalili nzuri kabisa.
HahahaEndelea kusubiri hiyo amsha amsha ambayo na uhakika hutaiona. Jinsi hii business inavyotakiwa usome na kutumia akili, huo mda wa kukupostia wewe uamini nautoa wapi??
Halafu hamna aliesema kwenye forex kuna utajiri wa haraka so keep waiting bra.
Naona unazibiwa rizkiNani kakusimanga?
Mkuu fanya unaloweza...au umbea ndo kitu pekee unachoweza zaidi hapa Duniani?,Napenda kuleta Uzi huu mahususi kabisa kwa wale jamaa zangu wa FOREX !!! Nimeona niseme kitu coz hapo mwanzo kipindi ndugu na jamaa yetu bwana Antario alipoanzisha uzi wa Forex !!!
Naweza kusema nyuzi zake zilipata waafuasi wengi sana hata Mimi nikiwemo !!!
Ninachojiuliza kwa sasa je? Forex hii mbona imepoteza mvuto na lile amsha amsha kama la mwanzo mbona limekufa? Au tayari watu wameshalizwa? Au wanatengeneza mapesa kimyakimya?
Hapana !!! Hapa kunakitu haiwezekana Jf ipoe kiasi hiki kuhusu hii Forex !!!
Maana hakuna mlejesho wowote wa MTU ambaye tayali amesha nunua hata passo kwa kutumia pesa ya Forex !!!!
Povu linaluhusiwa !!!!!
Mzee acc nafungua je? Msaada plzOntario simjui, sijahudhuria darasa lake lakini forex inanipa hela ya bia.