Ashangedere
Senior Member
- Aug 9, 2010
- 119
- 31
Piga 0716 622185 utapata
kwani wewe umeshapoteza sh. ngapi kwa hao mafisadi, jamani bila kujitolea kizazi chetu hakitakombolewaUTANUNUA FULANA 12,000......JE BAADA YA UCHAGUZI UTAWEZA KUIVAA? ni kajiswali tu!!!!
Piga 0716 622185 utapata
Sawa mkuu naimani kuna watu wanayajua haya maswala zaidi yangu mi nilileta rough idea...wakiiweka vizuri picha na maneno vinaendana...kwa maana kwamba jamaa kashika kichwa kuonyesha hajui umaskini wa watanzania unaletwa na nini... link ya picha hizi hapaKuna makosa kidogo. La muhimu siyo picha. ila la muhimu ni MANENO.
Inabidi uyafanye yawe makubwa zaidi. Nitumie link ya hiyo picha na ntawapatia vijana hapa waibalance vizuri ili kuwe na uwiano yaani maneno yawe walau 1/3 ya ukubwa wa picha.
Sawa mkuu naimani kuna watu wanayajua haya maswala zaidi yangu mi nilileta rough idea...wakiiweka vizuri picha na maneno vinaendana...kwa maana kwamba jamaa kashika kichwa kuonyesha hajui umaskini wa watanzania unaletwa na nini... link ya picha hizi hapa
kikwete1.jpg (image)
http://2.bp.blogspot.com/_qoN-WXqQXBQ/TA2ch_EHHtI/AAAAAAAADxI/rP8255OQdgA/s400/kikwete-kachoka.jpg
MawazoMatatu,
Ndiyo maana nimaseka kuna makosa kidogo na labda niongese "kidogo sana" ili ilete maana yangu hasa. Yale maneno yangelikuwa makubwa basi ilikuwa inatosha. La muhimu si picha ila maneno. Vijana hapa wameifanyia kazi na kuja na wazo la kwako ila muonekano kidogo tofauti. Unaonaje kwa muonekano huu?