hakuna kauli mbaya kisiasa aliyowahi kuitoa muungwana inayoizidi hiyo (sihitaji kura za wafanyakazi).muungwana si mtu wa majivuno na ujeuri....lakini miaka yake mitano ya uongozi wa nchi kajifunza tabia mbaya....sikuwa najua kwamba mtu anaweza kubadilika tabia ukubwani!
Hakuna Kauli mbaya Kisiasa aliyowahi kuitoa Muungwana inayoizidi hiyo (Sihitaji kura za wafanyakazi).Muungwana si mtu wa majivuno na ujeuri....Lakini miaka yake mitano ya Uongozi wa Nchi kajifunza tabia mbaya....sikuwa najua kwamba mtu anaweza kubadilika tabia ukubwani!
Itakuwa poa sana kama zitavaliwa kwa wingi siku ya kupiga kura ili kukumbushana kwamba hahitaji kura za walala hoi.
Bal Mwawado! Madaraka hulevya sana
BAKItakuwa poa sana kama zitavaliwa kwa wingi siku ya kupiga kura ili kukumbushana kwamba hahitaji kura za walala hoi.
Watz ni wepesi kusahau.:becky:, mimi natamani watu wote waikumbuke hii kitu aise.
:becky:, mimi natamani watu wote waikumbuke hii kitu aise.