paul p raia
Member
- Oct 21, 2010
- 43
- 2
Mzee makamba anasema lengo la kumpendekeza mwanamke kuwa spika ni ili kuwapa wanawake nafasi kwenye uongozi wa nchi.Mimi si bishi kuwa wakinamama wanahaki ya kupewa fursa za uongozi na wao kulete mchango wao kwa nchi hii.Mimi na mwangalia Mzee Sita ambaye mimi nadhani kwa kizazi chetu ataendelea kuwa "Nyerere w Bunge"na rejea ya bunge la viwango kwa miaka mingi ijayo,lakini pia itakuwa inakumbukwa daima kuwa Mzee huyu kwa kuwa mwanaume alipoteza sifa ya kuteuliwa na chama kogombea kwa kipindi cha pili.UNASIFA ZOTE ILA TATIZO WEWE NI MWANAUME.Makambaaaaaa...