sifa zote unazo ila wewe ni mwanaume.

paul p raia

Member
Oct 21, 2010
43
2
Mzee makamba anasema lengo la kumpendekeza mwanamke kuwa spika ni ili kuwapa wanawake nafasi kwenye uongozi wa nchi.Mimi si bishi kuwa wakinamama wanahaki ya kupewa fursa za uongozi na wao kulete mchango wao kwa nchi hii.Mimi na mwangalia Mzee Sita ambaye mimi nadhani kwa kizazi chetu ataendelea kuwa "Nyerere w Bunge"na rejea ya bunge la viwango kwa miaka mingi ijayo,lakini pia itakuwa inakumbukwa daima kuwa Mzee huyu kwa kuwa mwanaume alipoteza sifa ya kuteuliwa na chama kogombea kwa kipindi cha pili.UNASIFA ZOTE ILA TATIZO WEWE NI MWANAUME.Makambaaaaaa...
 
Mzee makamba anasema lengo la kumpendekeza mwanamke kuwa spika ni ili kuwapa wanawake nafasi kwenye uongozi wa nchi.Mimi si bishi kuwa wakinamama wanahaki ya kupewa fursa za uongozi na wao kulete mchango wao kwa nchi hii.Mimi na mwangalia Mzee Sita ambaye mimi nadhani kwa kizazi chetu ataendelea kuwa "Nyerere w Bunge"na rejea ya bunge la viwango kwa miaka mingi ijayo,lakini pia itakuwa inakumbukwa daima kuwa Mzee huyu kwa kuwa mwanaume alipoteza sifa ya kuteuliwa na chama kogombea kwa kipindi cha pili.UNASIFA ZOTE ILA TATIZO WEWE NI MWANAUME.Makambaaaaaa...

Ninavyofahamu maana ya ubaguzi wa jinsia ni hali ile ya kumpa mtu upendeleo wa kupewa nafasi fulani kwa sababu ya jinsia yake au kunyimwa nafasi kwa sababu ya jinsia. Hili la Makamba/CCM tuliweke upande gani? kama mwanaume anafaa akinyimwa nafasi eti kwa sababu wanawake wapewe nafasi siyo ubaguzi. Je, tunapomtafuta mtu kwa ajili ya nafasi ya uongozi kinachotangulia siyo sifa alizonazo? Mbona vitu hivi vinafanyika bila kutumia akili?
 
teacher.jpg
 
haya mambo yalianza kitambo tunayaangalia tu............ hizi affirmative policies mbona ni za siku nyingi?............ au wanaharakati wa masuala ya wanawake waliwafunika msiweze kufurukuta? ..... au mlibaki kimya tu ndio sasa mnaibuka kulalamika kwa suala la mh. sita?........... tujifunze kukosoa sera na mpango siyo tusubiri sera ,mipango na sheria mbalimbali zinapita kisha zinapotekelezwa ndo tunalalamika............
 
Kwa ccm demokrasia haipo na haitakuwepo, MAKAMBA MWENZIO AKINYOLEWA CHAKO KICHWA TIA MAJI; NAONA WAKATI HUU BAADA YA MAKAMBA KUCHEMSHA MARA KWA MARA NA KUJIKWAA KATIKA CHEO ALICHO NACHO CHA UKATIBU MKUU WA CCM,IMEEIKA WAKATI NAE ATOE NAFASI HIYO KWA MWANAMKE,NAMPENDEKEZA ANNE KILANGO MALECCELA AWE KATIBU MKUU WA CCM ILI KUONDOA MFUMO DUME ULIOPO KATIKA SAFU YA UONGOZI WA CCM.mwenyekiti ni kanali jk,naibu mwenyekiti ni pius msekwa,katibu mkuu yusufu makamba,katibu mwenezi john chiligati,katibu mipango na propaganda abrahamani kinana,wengine nilio wasahahau nisaidieni kuwaorodhesha hapa HILI MAKAMBA HALIONI,CCM NI KAMA KABURI LILILO PAKWA CHOKAA NNJE LAKINI NDANI LINAMUOZO
 
Basi na ukatibu mKUU ccm AWE MWANAMKE MWAKA HUU ,KAMA MAKAMBA WA KIKE WAMWACHIE AENDELEE TEHE TEHE TEHE
 
Kwa ccm demokrasia haipo na haitakuwepo, MAKAMBA MWENZIO AKINYOLEWA CHAKO KICHWA TIA MAJI; NAONA WAKATI HUU BAADA YA MAKAMBA KUCHEMSHA MARA KWA MARA NA KUJIKWAA KATIKA CHEO ALICHO NACHO CHA UKATIBU MKUU WA CCM,IMEEIKA WAKATI NAE ATOE NAFASI HIYO KWA MWANAMKE,NAMPENDEKEZA ANNE KILANGO MALECCELA AWE KATIBU MKUU WA CCM ILI KUONDOA MFUMO DUME ULIOPO KATIKA SAFU YA UONGOZI WA CCM.mwenyekiti ni kanali jk,naibu mwenyekiti ni pius msekwa,katibu mkuu yusufu makamba,katibu mwenezi john chiligati,katibu mipango na propaganda abrahamani kinana,wengine nilio wasahahau nisaidieni kuwaorodhesha hapa HILI MAKAMBA HALIONI,CCM NI KAMA KABURI LILILO PAKWA CHOKAA NNJE LAKINI NDANI LINAMUOZO

ahaaaaaa nina mawazo kama yako
 
Mzee makamba anasema lengo la kumpendekeza mwanamke kuwa spika ni ili kuwapa wanawake nafasi kwenye uongozi wa nchi.Mimi si bishi kuwa wakinamama wanahaki ya kupewa fursa za uongozi na wao kulete mchango wao kwa nchi hii.Mimi na mwangalia Mzee Sita ambaye mimi nadhani kwa kizazi chetu ataendelea kuwa "Nyerere w Bunge"na rejea ya bunge la viwango kwa miaka mingi ijayo,lakini pia itakuwa inakumbukwa daima kuwa Mzee huyu kwa kuwa mwanaume alipoteza sifa ya kuteuliwa na chama kogombea kwa kipindi cha pili.UNASIFA ZOTE ILA TATIZO WEWE NI MWANAUME.Makambaaaaaa...

Jamani tusimsakame sana Makamba kwani mwenye uamuzi wa mwisho ni mwenyekiti, JK. Na wangelisema hilo mapema hili Sitta akafanye plastic surgery ili tuendelee kuwa nae. Inakuwaje sex (male/ female) na wala sio jinsia hapa kuwa kigezo katika uongozi bora?
 
Kwa hakika huu ni ubaguzi wa dhahiri. Ilitakiwa tushindanishe sifa za kuwa spika na siyo jinsia. Mhe Sitta alifanyiwa ubaguzi wa kijinsia.
 
Back
Top Bottom