Sifa zipi za kujiunga chuo cha Hombolo Dodoma?

Chuo cha Mipango Ombolo kimeanzishwa lini? Jana? Ni sawa na kusema chuo cha IFM mlimani:eek:. Kwa taarifa. Hombolo(20-30km from Dom centre) kuna chuo cha serikali kwa ajili ya watumishi wa umma wa serikali za mitaa (kina malengo yanayofanana na Magogoni na Uhazili Tabora). Chuo cha Mipango kipo takribani km 7 kutoka Dodoma mjini. Hiki ni mahsusi kwa taaluma za mipango na maendeleo vijijini. Wewe unazungumzia chuo gani?

Chuo cha Watumishi wa Serikali za Mitaa kilichopo Hombolo:LGTI | Local Government Training Institute -

Chuo cha Mipango Dodoma:Institute of Rural Development Planning

Nenda huko katafute taarifa unazotaka, ikiwezekana wapigie hata simu maana kwenye hizo web kuna namba zao za simu.
 
CHUO CHA SERIKALI ZA MITAA
S.L.P. 1125, DODOMA Simu: 026- 2961101 Fax: 026 -2961100,
Barua Pepe: info@lgti.ac.tz
Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (Hombolo) anakaribisha maombi ya kujiunga na masomo kwa mwaka 2017/2018 katika ngazi ya Astashahada (Certifiacate) na Stashahada (Diploma) kwenye fani zifuatazo:-
1. Utawala katika Serikali za Mitaa (Local Government Administration)
2. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
3. Maendeleo ya Jamii (Community Development)
4. Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa (Local Government Accounting and Finance)
5. Utunzaji wa kumbukumbu (Records, Archives and Information Management)
6. Ugavi na Ununuzi (Procurement and Supplies Management)
SIFA: Mwombaji wa Astashahada (Certifiacate) awe amepata angalau ufaulu wa “D” 4 za Kidato cha Nne na kwa mwombaji wa Stashahada (Diploma) awe amepata angalau ufaulu wa “Principal” moja na “Subsidiary” moja ya Kidato cha Sita AU awe na cheti toka Chuo chochote kinachotambulika na Serikali.
ANGALIZO:
1. Moja kati ya D nne ISIWE ya somo la Dini.
2. Kozi ya Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa inahitaji mwombaji awe amefaulu somo la HISABATI katika mtihani wake wa kidato cha nne.
3. Kama mwombaji amefanya mtihani wa kidato cha nne zaidi ya mara moja, aambatanishe nakala za vyeti vyake vya awamu zote za mithani alizofanya.
Fomu zinapatikana:
1. Chuoni, Hombolo
2. Kampasi ya Dodoma Mjini (Area C)
3. Katika tovuti ya Chuo www.lgti.ac.tz
Fomu iliyokwisha jazwa iambatanishwe na malipo ya ada ya maombi ya shilingi 30,000/=kwenye Akaunti Na .50501100209 ya Benki ya NMB DODOMA.
Maombi yatumwe kwa mkono au kwa posta kwenda kwenye anuani ifuatyo:
Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Serikali za Mitaa,
S. L. P 1125, Dodoma.
MWISHO wa kupokea maombi ni tarehe 31/05/2017
Kwa maelezo zaidi piga simu namba:
0717 487 420
0754 415 659
0755 241 010
 
CHUO CHA SERIKALI ZA MITAA
S.L.P. 1125, DODOMA Simu: 026- 2961101 Fax: 026 -2961100,
Barua Pepe: info@lgti.ac.tz
Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (Hombolo) anakaribisha maombi ya kujiunga na masomo kwa mwaka 2017/2018 katika ngazi ya Astashahada (Certifiacate) na Stashahada (Diploma) kwenye fani zifuatazo:-
1. Utawala katika Serikali za Mitaa (Local Government Administration)
2. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
3. Maendeleo ya Jamii (Community Development)
4. Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa (Local Government Accounting and Finance)
5. Utunzaji wa kumbukumbu (Records, Archives and Information Management)
6. Ugavi na Ununuzi (Procurement and Supplies Management)
SIFA: Mwombaji wa Astashahada (Certifiacate) awe amepata angalau ufaulu wa “D” 4 za Kidato cha Nne na kwa mwombaji wa Stashahada (Diploma) awe amepata angalau ufaulu wa “Principal” moja na “Subsidiary” moja ya Kidato cha Sita AU awe na cheti toka Chuo chochote kinachotambulika na Serikali.
ANGALIZO:
1. Moja kati ya D nne ISIWE ya somo la Dini.
2. Kozi ya Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa inahitaji mwombaji awe amefaulu somo la HISABATI katika mtihani wake wa kidato cha nne.
3. Kama mwombaji amefanya mtihani wa kidato cha nne zaidi ya mara moja, aambatanishe nakala za vyeti vyake vya awamu zote za mithani alizofanya.
Fomu zinapatikana:
1. Chuoni, Hombolo
2. Kampasi ya Dodoma Mjini (Area C)
3. Katika tovuti ya Chuo www.lgti.ac.tz
Fomu iliyokwisha jazwa iambatanishwe na malipo ya ada ya maombi ya shilingi 30,000/=kwenye Akaunti Na .50501100209 ya Benki ya NMB DODOMA.
Maombi yatumwe kwa mkono au kwa posta kwenda kwenye anuani ifuatyo:
Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Serikali za Mitaa,
S. L. P 1125, Dodoma.
MWISHO wa kupokea maombi ni tarehe 31/05/2017
Kwa maelezo zaidi piga simu namba:
0717 487 420
0754 415 659
0755 241 010
Good
 
Unataka kusoma ili iweje, wakati mkulu hana mpango wa kuajiri!?

Ushauri: hyo pesa anzisha kabiashara naamini katakutoa kimaisha kuliko usome alafu uanze kuishi kwa matumaini ya mitandao
 
c6072125c785cff650034a4999b1cc98.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom