Sifa za Waziri Mkuu

We can

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
678
47
Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mawaziri wote na ndiye Kiraanja Mkuu wa Kazi za kila siku za serikali, hivyo anapaswa awe:

1. Mkali, asiyeonea na ambaye haonei mtu, watu, taasisi, nk,
2. Asiwe fisadi, wala mtu aliyewahi kuwa fisadi ili kutoa dira/ mwongozo kwa mawaziri wake na kwa bosi wake,
3. Hapaswi kuwa kimbelembele, kiherehere na mzandiki,
4. Hapaswi kuwa mdini, mkabila, wala mbaguzi wa aina yeyote,
5. Haswi kujali QUANTITY bali QUALITY ktk kazi; na aweke vigezo vya QUALITY. Sharti azingatie maelekezo ya wataalam (wasomi na tafiti zao). Ahakikishe ELIMU inapewa fungu kubwa kuwezesha wa Tanzania wafanye tafiti na siyo ku IMPORT wataalamu au KU IMPORT vifaa vya kitaalam, this should never be a long-term plan...
6. Ajue kuwa Tanzania siyo nchi ya kuombaomba misaada,
7. Atafakari upya na mara kwa mara kauli na sera za serikali; mfano is KILIMO kwanza a PRIME dira for Tanzania? au KILIMO BORA kwanza?
8. Hapaswi kuwa na nyumba ndogo au yeye kuwa sehemu ya nyumba ndogo,
9. Hapaswi kujali nani anamsifia au anamlaumu, alimradi anatenda kwa maslahi ya waliowengi,
10. Anapaswa awe tayari kushirikiana na bosi wake kutimiza ahadi zooote wakati wa Kampeni.
 
Awe mtu mwenye maamuzi kulingana na cheo alichonacho, bila kuathiri madaraka ya Mkuu wake.
 
Awe motto wa mkulima na awe na uwezo wa kulia linapokuja suala na mauaji ya albino
 
awe ni mtu atakaye sema kwa dhati kuwa zanzibar si nchi..na akibanwa sana basi aite wanasheria wakuu wa serikali watafute definition ya zanzibar ni nchi au sio nchi
 
awe anatoka katika familia ya Mkulima, anayeweza kujibu maswali ya pao kwa hapo, na anayemwogopa mkuu wake wa nchi
 
Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mawaziri wote na ndiye Kiraanja Mkuu wa Kazi za kila siku za serikali, hivyo anapaswa awe:

1. Mkali, asiyeonea na ambaye haonei mtu, watu, taasisi, nk,
2. Asiwe fisadi, wala mtu aliyewahi kuwa fisadi ili kutoa dira/ mwongozo kwa mawaziri wake na kwa bosi wake,
3. Hapaswi kuwa kimbelembele, kiherehere na mzandiki,
4. Hapaswi kuwa mdini, mkabila, wala mbaguzi wa aina yeyote,
5. Haswi kujali QUANTITY bali QUALITY ktk kazi; na aweke vigezo vya QUALITY. Sharti azingatie maelekezo ya wataalam (wasomi na tafiti zao). Ahakikishe ELIMU inapewa fungu kubwa kuwezesha wa Tanzania wafanye tafiti na siyo ku IMPORT wataalamu au KU IMPORT vifaa vya kitaalam, this should never be a long-term plan...
6. Ajue kuwa Tanzania siyo nchi ya kuombaomba misaada,
7. Atafakari upya na mara kwa mara kauli na sera za serikali; mfano is KILIMO kwanza a PRIME dira for Tanzania? au KILIMO BORA kwanza?
8. Hapaswi kuwa na nyumba ndogo au yeye kuwa sehemu ya nyumba ndogo,
9. Hapaswi kujali nani anamsifia au anamlaumu, alimradi anatenda kwa maslahi ya waliowengi,
10. Anapaswa awe tayari kushirikiana na bosi wake kutimiza ahadi zooote wakati wa Kampeni.

Hivi ndivyo tunavyotaka lakini hachaguliwi kwakura za wananchi anachaguliwa na mafisadi ambao lazima wamwelekeze wanataka nini? so hapo nothing we can do mpaka tupate raisi wa kweli
 
Atambue kwamba Kilimo hakitoi umasikini, Nchi kwa kilimo ulimwenguni ni China na Marekani.. na ni nchi za viwanda... Kilimo hakitutoi, ajaribu kutambua Viwanda ndiyo njia pekee, Kwa kuanzia vidogo vidogo. Tunahitaji kuweza kujilisha tu, ila siyo uti wa mgongo wa maendeleo yetu.
 
awe anatambua kuna mungu ili aweze kumake fair and proper decisions otherwise moto utamhusu...!
 
Atambue kwamba Kilimo hakitoi umasikini, Nchi kwa kilimo ulimwenguni ni China na Marekani.. na ni nchi za viwanda... Kilimo hakitutoi, ajaribu kutambua Viwanda ndiyo njia pekee, Kwa kuanzia vidogo vidogo. Tunahitaji kuweza kujilisha tu, ila siyo uti wa mgongo wa maendeleo yetu.

Utapata wapi viwanda bila kilimo. Punguza porojo mkuu.
 
Back
Top Bottom