Sifa za watu wenye roho mbaya

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kuna utafiti nimeufanya kuhusu watu wenye roho mbaya wako hivi;

1.Hupenda kujiona wao ni wema na wasafi kuliko wengine.

2.Hupenda kulalamika tuu.

3.Hawapendi ushirikiano katika shida za wenzao ila za kwao hupenda ushirikiano asaidiwe.

4.Hawapendi kukosolewa ila wanapenda kuwakosoa wengine

5.Ni wagumu kutoa pesa zao kumsaidia mtu asiye na faida naye ila wao wakiwa na shida huomba msaada kwa watu ambao hawana faida nao.

Hawa ni watu wenye roho mbaya, haya ongezea zingine.
 
Kuna utafiti nimeufanya kuhusu watu wenye roho mbaya wako hivi;

1.Hupenda kujiona wao ni wema na wasafi kuliko wengine.

2.Hupenda kulalamika tuu.

3.Hawapendi ushirikiano katika shida za wenzao ila za kwao hupenda ushirikiano asaidiwe.

4.Hawapendi kukosolewa ila wanapenda kuwakosoa wengine

5.Ni wagumu kutoa pesa zao kumsaidia mtu asiye na faida naye ila wao wakiwa na shida huomba msaada kwa watu ambao hawana faida nao.

Hawa ni watu wenye roho mbaya, haya ongezea zingine.
Namba tano haihusiki hapo
 
Kuna utafiti nimeufanya kuhusu watu wenye roho mbaya wako hivi;

1.Hupenda kujiona wao ni wema na wasafi kuliko wengine.

2.Hupenda kulalamika tuu.

3.Hawapendi ushirikiano katika shida za wenzao ila za kwao hupenda ushirikiano asaidiwe.

4.Hawapendi kukosolewa ila wanapenda kuwakosoa wengine

5.Ni wagumu kutoa pesa zao kumsaidia mtu asiye na faida naye ila wao wakiwa na shida huomba msaada kwa watu ambao hawana faida nao.

Hawa ni watu wenye roho mbaya, haya ongezea zingine.
Mbon kama unamlenga bwana yuleeeee
 
Wanapenda kuombewa lakini wao hawapendi kuombea wenzao...

Wanatamani malaika waishi kama mashetani ilhahi wao ni mashetani wanaotaka kuishi kama malaika...

Wanapenda wasikilizwa na kusikika wao ilhali wao hawapendi kusikiliza sauti za wengine....

Shida zao ni zetu chaajabu shida zetu haziwahusu..
 
dk-fika-jpeg.627262
 
Hawapendi ku appreciate kitu kizuri cha mtu wao kwao ni kasoro tu kikiwa kizuri wanaponda kikiwa kibaya wanapongeza

Wakuda

Wazandiki

Wachoyo
 
Kuna utafiti nimeufanya kuhusu watu wenye roho mbaya wako hivi;

1.Hupenda kujiona wao ni wema na wasafi kuliko wengine.

2.Hupenda kulalamika tuu.

3.Hawapendi ushirikiano katika shida za wenzao ila za kwao hupenda ushirikiano asaidiwe.

4.Hawapendi kukosolewa ila wanapenda kuwakosoa wengine

5.Ni wagumu kutoa pesa zao kumsaidia mtu asiye na faida naye ila wao wakiwa na shida huomba msaada kwa watu ambao hawana faida nao.

Hawa ni watu wenye roho mbaya, haya ongezea zingine.
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom