Tu mwili mmoja sasa mwenza, hivyo kazana.Kila mtu na msalaba wake we jidai tuu...hata mume atajibeba mwenyewe
Kiukweli...sio kweli...angalia wanaojichubua weusi na weupe wapi wanaojichubua zaidi? katk 10 utakutana na weupe wanajichubua wa 3 ila weusi utakutana nao 7 wanajichubua
Kumbe na wewe ni handsome mkuu?Kama hujui wanaume mahandsome ndo wanaoaga wanawake wabaya sijui Kwa nini.
Nitajitahidi nikwepe Hilo aisee
Nilipokuwa chuo niliitwa handsome wa college nzima.mpaka nikawa Mr.Kumbe na wewe ni handsome mkuu?
Kasumba...hizo...Ameanza kuleta racism, tumpinge tu
Mfyuu😅😅Tu mwili mmoja sasa mwenza, hivyo kazana.
Watoto wa mama utawasikia "mama this, mama that..."
Woooiii!!!
Badilisha iyo Username Tafadhali.Kama umeanza ubaguzi wa rangi, sasa utaendelea kwenye dini, kabila, jinsia, elimu, uwezo wa kiuchumi, ukanda, etc.
Madem ni viumbe wanafiki sana anaweza sema anapenda mweusi halafu akimuona hemed PhD kwenye tv anapagawaMimi ni mweupe ila mbona umesifia sana mimi kila dem nikimuulizaga anapenda mwanaume wa aina gani anasema mweusi..
ila hapo kwenye kutongoza ni kweli.. Siwezi tongoza demu mara mbili mimi.. Asiponielewa mara moja napita speed...
21. Wengi ni mapunga.13.Wanaume weupe walaini walaini
14.Wanaume weupe hawafanyi kazi za kutumia nguvu
15.Wanaume weupe ni mario
16.Wanaume weupe wengi wapo kwa wazazi wao japo wamebalehe
17.Wanaume weupe wanatembea kwa kunata/kuringa ringa kama upande wa pili hukoo.
18.Wanaume weupe wanadeka deka
19.Wanaume weupe wanakaa kwa dada zao walioolewa
20.Wanaume weupe kutwa kujiangalia ktk vioo.
ITAENDELEA.........
nakuja hapo Riverside na nsikudake nakwambia
Yaan kwa upande wangu Hemed hajawahi nishtuaMadem ni viumbe wanafiki sana anaweza sema anapenda mweusi halafu akimuona hemed PhD kwenye tv anapagawa
Ila unaweza kukutana na man mweupe kama mimi nikakuvutia bila shidaYaan kwa upande wangu Hemed hajawahi nishtua
Du naona bado unacheza na gia ileile.mi white na mm huwa nawakubali black beauty.sema wanatoweka kwa kasi.Ila legeza kidogo weupe umetuweka kwenye group kama la viumbe wengine tofauti na binadamu
Afu ujikute wewe ndio nigga sasa,..chaaa!!! lazima umuone yoriyori
..mie km@Shunie napenda sura chachu best...hahaha...wazuri wakujilamba lips nawapeleka wap.jaman.kapeace...!had nikasema napenda men mwenye sugu mikonom.automatic huyo ni mchachu...
Wanaume weupe vichwani weupe pia13.Wanaume weupe walaini walaini
14.Wanaume weupe hawafanyi kazi za kutumia nguvu
15.Wanaume weupe ni mario
16.Wanaume weupe wengi wapo kwa wazazi wao japo wamebalehe
17.Wanaume weupe wanatembea kwa kunata/kuringa ringa kama upande wa pili hukoo.
18.Wanaume weupe wanadeka deka
19.Wanaume weupe wanakaa kwa dada zao walioolewa
20.Wanaume weupe kutwa kujiangalia ktk vioo.
ITAENDELEA.........