gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #21
BT usipolala wa mwisho na kuamka wa kwanza wewe ni kakiwanda tu kakufyatua watoto na so mama bora!
maana yake si kwamba atakuwa siyo mama bora bali atakua amepunguza sifa za mama bora, kwani wafikiri kwanini anaamka wa kwanza na kulala wa mwisho? huamka ili kuhakikisha kwamba ata uji anaopika dada umefuata taratibu zake, na hulala wa mwisho ili ahakikishe mambo yotekabla ya kulala yamekwenda sawa hata kama kuna mtu anayeyafanya ila usimamizi na uhakiki wake ni lazima.
unless uwe ni mtu usinayependa kufanyiwa kazi ila kama wapenda kuwajiabika basi lazima kabla ya kulala na kabla ya kuamka kuyaangalia haya.