Sifa za mwanamke wa kweli mwenye 'moyo wa umama'

sasa umeona Kaunga kwamba wewe uko tayari kuitetea familia yako kwa gharama yeyote ile? kwamba utaondoka na wanao je wajua kwamba iyo ndo moja ya sifa ya umama? manake siku zote mama ndio mtetez wa wanae na ndo maana hata acha watoto wasisome eti kisa baba hayuko responsible. huwa anahangaika awe yuko ndani ama ametoka na wanawe na kwamwe hawaahi wanawe nyuma.

Sifa si kubeba watoto tu! je watapata malezi bora?Huduma za ELIMU na AFYA bila kipingamizi au WATAISHIA KUWA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA HATARISHI. aka MACHOKORAA
 
Last edited by a moderator:
ikitokea mtu umepata mke anazo hzo sifa zote,kesha na kuomba kwa mungu maana wanawake wa cku hizi daaah mungu tusaidie
 
Imenikumbusha prof mmoja moro alikuwa na mke afisa wa tra. Alikuwa akirudi akute maharage yamepikwa anauliza, nani kasema mpike mbegu humu ndani? Kwani kuna nguruwe? Aafu anatuma dereva wake akalete kuku. Mume akimwambia tuwe tunazoea kula vyakula aina zote anamjibu kama huwezi acha mi niwalishe. Loh!
 
mwanamke wa kweli mwenye moyo wa umama ametofautiana kwa kiasi kikubwa na mwanamke mwingine yeyote. mwanamke huyu awe amebarikiwa kupata watoto ama la lakin atakuwa na sifa zifuatazo.

1) ana upendo wa kweli kwa watu wa nyumbania mwake. yaani si mbaguzi hata kidogo. na daima huifanya familia yake kuwa priority. na kwamwe htumika kama daraja la kuunganisha familia zote mbili alikotoka yeye na aliakotoka mumewe.

2) ana hekima katika kuyakabili mambo ya nyumbani mwake. hata siku moja haamui mambo kwa ujinga na daima busara yake ndio silaha yake.

3) ana uvumilivu sana katika jambo lolote lile gumu na daima huona gumu lolote limpatalo kama changa moto tu na si kama kosa.

4) ana siri sana juu ya maisha ya nyumbani kwake daima hukuti mambo ya nyumbani nje watu wakiyajadili.

5) ni mchapa kazi hodari, tena ambaye hawez kuruhusu familia yake ikalala njaa kisa baba hajaleta chakula. ama watoto wasisome shule kisa baba hajalipa ada.

6) daima ni muaminifu na anaaminika sana kwa matendo yake.

7) siku zote huamka wa kwanza nyumban, na hulala wa mwisho. huakikisha mambo yote ya ndani yako sawa kabla ya yote.

8) huwa hadekezi watoto wala haengi watoto katika kazi. huakikisha nyumbani kwake kila mtoto ni mchapa kazi na nidham ya ndani ya nyumba ipo.

9) si mbishi wala hawez kubishana na mumewe mbele za watu. kwani ni msikivu sana kwa mumewe na daima humfanya mume kuwa kiongozi na kamwe huwa habadili cheo cha baba.

10) ni mwepesi wa kukiri makosa yake kwa mumewe na kuomba samahani lakin pia ni mzuri sana kwenye kuremedy makosa yake.

13) siku zote ni msafi wa mazingira na mwili daima nyumba yake husifika kwa usafi.

14) mume na watoto wake hujulikana hata wanapoonekana njian manake huakikisha amewavesha vizuri, kinadhifu na watoto wanaheshima sana.

15) ni mcha Mungu, kwa imani yake. hata kama baba si mtu wa sala lakin yeye huongoza watoto katika ibada kila iitwapo leo.

16) hupendelea zaid maendeleo hasa ya kiuchumi na daima hupenda vitu vizuri na hujitahd sana vipatikane.

17) si mpayukaji wala mtu wa kisirani nyumbani mwake. maneno yake huwa yaliyopangiliwa kwa sauti yenye kunyesha mamlaka lakini yenye upole.

18) hupendelea kupika na hujiskia furaha sana akipika kwa ajili ya familia yake. na siku akipika basi hata watoto husema leo tunakula chakula kitamu manake ni desturi yake kupika chakula kitamu.

19) humuheshimu sana mumewe, na daima hupenda kuisikia kauli ya mumewe katika maamuzi. siku zote humfanya baba kuwa msemaji wa familia yake na huakikisha kauli ya baba inatekelezwa.

20) kamwe huwa hana dharau, wala majivuno, wala kiburi, wala uchoyo wala unafiki kwa mtu yeyote yule.

nawasilisha
mwl gf.

mwezi wa nane itakuwa nilikuwa busy sana na mambo mengine ya field work.
aksante kwa huu uzi nitarudi badae kuusoma wote na michango yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom