Sifa za mwanamke mpenda pesa

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
KATIKA zama hizi – kuliko zama zingine zozote – pesa imepewa kipaumbele kikubwa katika suala zima la uhusiano wa kimapenzi. Mwanamke asiyempenda mtu bali pesa si rahisi kujenga uhusiano wowote wa maana na mwanamume maskini, au yule ambaye hatakuwa na uwezo wa kutimiza mahitaji yake makubwa.

Hata kama una pesa, ni gharama sana kumfanya mwanamke mpenda pesa kuwa na furaha. Naam, yupo mwanamke ambaye hataki mapenzi wala chochote kwa mwanamume bali faida ya fedha au mali. Huyu hawezi kufurahishwa kwa chochote kile pungufu ya matakwa yake ya
fedha na mali.

Katika pitapita zako unaweza kuukwaa mkenge na kujikuta umeingia katika uhusiano na mwanamke wa aina hii, au ukajikuta ukimfukuzia mwanamke huyu ambaye hampendi mtu bali pesa. Unapaswa kuwa mjanja na kumbaini mwanamke huyu kabla hajakupotezea muda na kukuingiza hasara.

Yafuatayo ni mambo 10 ambayo yatakuonesha kuwa mwanamke uliye naye au unayemfuatilia hakupendi bali anapenda waleti yako: -

1. ANAPENDA ZAWADI ZA BEI MBAYA




2. MARAFIKI ZAKE NI WAPENDA PESA


3. ATATAKA SANA KUJUA MAISHA YAKO



4. HATAGHARIMIA CHOCHOTE, POPOTE


5. ANAWACHUKIA WANAWAKE WENZAKE



6. HUTUMIA UREMBO WAKE KAMA TANZI


7. HUPENDA SANA KUONEKANA WA HADHI YA JUU


8. HUWATUMIA WANAUME KAMA NGAZI



9. MWONEKANO WAKE SI SAIZI YAKO



10. HUJIONA MWENYE KUSTAHILI KILA JEMA


JIEPUSHE NAYE

Hakuna mwanamume ambaye kwa makusudi kabisa atataka kuingia katika uhusiano na mwanamke ambaye malengo yake ni kuchuna buzi tu na kuondoka zake. Ni kweli kuwa wapo wanaume wanaolipia mapenzi, mathalani kwa makahaba, lakini angalau mtu anayefanya hivi anajua uhusiano huu ni wa dakika chache na hakuna mapenzi yoyote bali ngono.

Ukiisha kuzifahamu ishara hizi muhimu za mwanamke mpenda pesa na mali, unaweza
kujiepusha naye, usije ukaishia kujuta maisha yako yote huku ukiwa umeshapoteza muda wako na mali nyingi, nyumba umeshamjengea na magari umemnunulia. Kumbuka majuto ni
mjukuu.

Kama kuna mengine leteni tuongezee ili kuzidi kujilinda zaidi na wanawake wapenda pesa
 
Nakubaliana na wewe ....niliwahi kuwa na mwanamke wa dizaini hiyo , thanks God nilimshtukia mapema
 
Na tatizo na hawa watu, huwa ukimpa kiasi anachotaka, say 50K, next time atataka higher amount, harudi chini!....Wengine huweza hata kuazima vitu vya gharama kwa mwenzake ili aonekane wa juu, na hivyo umkatie mafao ya juu zaidi...

Kuna mtu alinambia kuwa kuna wanawake wanaishi mbavu za mbwa, lakini ukimkuta ametegesha mahali utadhani anamiliki hekalu...complications kibao..hahahaaa!
 
Na tatizo na hawa watu, huwa ukimpa kiasi anachotaka, say 50K, next time atataka higher amount, harudi chini!....Wengine huweza hata kuazima vitu vya gharama kwa mwenzake ili aonekane wa juu, na hivyo umkatie mafao ya juu zaidi...

Kuna mtu alinambia kuwa kuna wanawake wanaishi mbavu za mbwa, lakini ukimkuta ametegesha mahali utadhani anamiliki hekalu...complications kibao..hahahaaa!

tehe teh usipokaa chonjo unaingia mkenge mmmh:A S-alert1:
 
Yafuatayo ni mambo 10 ambayo yatakuonesha kuwa mwanamke uliye naye au unayemfuatilia hakupendi bali anapenda waleti yako: -

1. ANAPENDA ZAWADI ZA BEI MBAYA
2. MARAFIKI ZAKE NI WAPENDA PESA
3. ATATAKA SANA KUJUA MAISHA YAKO
4. HATAGHARIMIA CHOCHOTE, POPOTE
5. ANAWACHUKIA WANAWAKE WENZAKE
6. HUTUMIA UREMBO WAKE KAMA TANZI
7. HUPENDA SANA KUONEKANA WA HADHI YA JUU
8. HUWATUMIA WANAUME KAMA NGAZI
9. MWONEKANO WAKE SI SAIZI YAKO
10. HUJIONA MWENYE KUSTAHILI KILA JEMA


Je, ni zipi sifa za mwanamume mpenda pesa???? Ziweke hapa ili akina preta, maria roza, first lady, lady n, nyamayao na wengineo wazifahamu na kuchukua tahadhari wasije kuingia mkenge!!!
 
Je, ni zipi sifa za mwanamume mpenda pesa???? Ziweke hapa ili akina preta, maria roza, first lady, lady n, nyamayao na wengineo wazifahamu na kuchukua tahadhari wasije kuingia mkenge!!!

Ngoja watuletee wao maana sisi hili tumeng'amua wenyewe:A S-alert1:
 
KATIKA zama hizi – kuliko zama zingine zozote – pesa imepewa kipaumbele kikubwa katika suala zima la uhusiano wa kimapenzi. Mwanamke asiyempenda mtu bali pesa si rahisi kujenga uhusiano wowote wa maana na mwanamume maskini, au yule ambaye hatakuwa na uwezo wa kutimiza mahitaji yake makubwa.

Hata kama una pesa, ni gharama sana kumfanya mwanamke mpenda pesa kuwa na furaha. Naam, yupo mwanamke ambaye hataki mapenzi wala chochote kwa mwanamume bali faida ya fedha au mali. Huyu hawezi kufurahishwa kwa chochote kile pungufu ya matakwa yake ya
fedha na mali.

Katika pitapita zako unaweza kuukwaa mkenge na kujikuta umeingia katika uhusiano na mwanamke wa aina hii, au ukajikuta ukimfukuzia mwanamke huyu ambaye hampendi mtu bali pesa. Unapaswa kuwa mjanja na kumbaini mwanamke huyu kabla hajakupotezea muda na kukuingiza hasara.

Yafuatayo ni mambo 10 ambayo yatakuonesha kuwa mwanamke uliye naye au unayemfuatilia hakupendi bali anapenda waleti yako: -

1. ANAPENDA ZAWADI ZA BEI MBAYA




2. MARAFIKI ZAKE NI WAPENDA PESA


3. ATATAKA SANA KUJUA MAISHA YAKO



4. HATAGHARIMIA CHOCHOTE, POPOTE


5. ANAWACHUKIA WANAWAKE WENZAKE



6. HUTUMIA UREMBO WAKE KAMA TANZI


7. HUPENDA SANA KUONEKANA WA HADHI YA JUU


8. HUWATUMIA WANAUME KAMA NGAZI (Kupandwa na mwanamke)



9. MWONEKANO WAKE SI SAIZI YAKO



10. HUJIONA MWENYE KUSTAHILI KILA JEMA


JIEPUSHE NAYE

Hakuna mwanamume ambaye kwa makusudi kabisa atataka kuingia katika uhusiano na mwanamke ambaye malengo yake ni kuchuna buzi tu na kuondoka zake. Ni kweli kuwa wapo wanaume wanaolipia mapenzi, mathalani kwa makahaba, lakini angalau mtu anayefanya hivi anajua uhusiano huu ni wa dakika chache na hakuna mapenzi yoyote bali ngono.

Ukiisha kuzifahamu ishara hizi muhimu za mwanamke mpenda pesa na mali, unaweza
kujiepusha naye, usije ukaishia kujuta maisha yako yote huku ukiwa umeshapoteza muda wako na mali nyingi, nyumba umeshamjengea na magari umemnunulia. Kumbuka majuto ni
mjukuu.

Kama kuna mengine leteni tuongezee ili kuzidi kujilinda zaidi na wanawake wapenda pesa

Jamani wanawake wa aina hii ndio nawataka. Hata jana niliomba wajitokeze. Mwanamme tafuta pesa, mwanamke atumie. Nimekoleza kwa wino wekundu 1,4,7-9 kuonyesha kuwa wanawake wenye sifa hizo ndio niwatakao mimi.
 
Back
Top Bottom