Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Watachonga wana nguvu gani kwa mfano?
 
Mimi Mgweno I'm neither Pare no Chaga but super intermidiate .
Wengi hawalijui hilo kama hujui sasa jua kuwa Kilimanjaro kuna makabila matatu Wachaga, Wapare na Wagweno .
 
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
Kwenye kugawa uroda ni karibu kila kabila si kama tulivyokaririshwa mkuu.
 
Mmmmh wapogorooo..sijawahi sikia hizo sifa kama hizo wanazo. Ila sema huu uzi ni kujinadi haina noma twendeni
 
Matendo ya huruma kwa mtu mwenye akili timamu, afya njema, nguvu na viungo vyote vya mwili anavyo??? Afu aombe nimpe? Be serious aseee.....
Kuna watu wenye uhitaji ila sio kila mtu, siku moja nlikua twn akaja babu mmoja Mgogo anaomba hela ya nauli, mwenyewe nna jero tu kwenye pochi nikaitoa hiyo hiyo nafika mbele namuona anaomba watu wengine nauli, nilichukia mi hata wazee siwapi ni wasanii tu bora walemavu
ahahahaaaaa ilikula kwako rafiki hata mimi ningechukia kinouma kudadeki
 
JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.

KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.

MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .

MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA

WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hao wa chini wote wana asili ya pwani na pia wana itikadi za ujamaa from the roots. Wanaamini katika gathering together ingawa imewa affect maana wengi maendeleo ya ni duni. Hubebana tu in good faith vizazi kwa vizazi sio kama makabila mengine ambayo mtoto akishapevuka analazimika kuwa independent.

Hamnaga Mbeleko kwenye Makabila ya Bara. Ndio maana kuna mambo ya Koo na Ukabila.
 
Hao eti wenye roho mzuri mmmm wanaongea sana na muongeaji sana lazima awe mbeya mbeya sana na uongo pia
 
wahahe weusi na wenye mapenzi ya dhati kwa wote tatzo la mhehe usimkosee kwa kile anachokihitaji huchelewi kumkuta kajinyonga
Wahehe pia wanahasira za kudumu na hawajui kusamehe. Nadhani ndo sababu hujinyonga. Walipizaji wakubwa wa visasi. Kwavile wao ujiua ni kitu kidogo, hawajali kukuondoa na wewe pia. Bora kuoa mchaga au mchawi, kuliko mhehe.
 
hao wa chini wote wana asili ya pwani na pia wana itikadi za ujamaa from the roots. Wanaamini katika gathering together ingawa imewa affect maana wengi maendeleo ya ni duni. Hubebana tu in good faith vizazi kwa vizazi sio kama makabila mengine ambayo mtoto akishapevuka analazimika kuwa independent.

Hamnaga Mbeleko kwenye Makabila ya Bara. Ndio maana kuna mambo ya Koo na Ukabila.
Nakazia
 
Back
Top Bottom