Sifa za kujiunga na chuo kikuu 2016

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Naomba ufafanuzi, nimepata: Physics D; Biology E; na Chemistry E, which is = Total points 4. Je kwa mtindo wa minimum 4 points from two principal passes nina sifa za kujiunga na chuo kikuu (University)
 
Naomba ufafanuzi, nimepata: Physics D; Biology E; na Chemistry E, which is = Total points 4. Je kwa mtindo wa minimum 4 points from two principal passes nina sifa za kujiunga na chuo kikuu (University)
E os unknown for them
 
Naomba ufafanuzi, nimepata: Physics D; Biology E; na Chemistry E, which is = Total points 4. Je kwa mtindo wa minimum 4 points from two principal passes nina sifa za kujiunga na chuo kikuu (University)
Masomo mawili ndio yanachukuliwa na sio matatu. Kwahiyo hapo D+E=3.0. Huwezi kwenda labda urudie kufanya mitihani yako au uende diploma. Nako ukasome kwelikweli.
 
No. Chuo lazima upate. Vyuo ni vingi sana. Hakuna kitakachojaa. Njoo MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY. hapa kigamboni.
 
HGL nataka ni apply education?
Competition ya watu wa arts ni kubwa mno kwa mwaka huu ila science people hata wenye div. 3 za 15 watachaguliwa baadaye kwenda chuo wakishaona wanafunzi wanaopita kwa science kwenda chuo ni wachache coz wengi wao tokeo lao ni div. 2 na 3 kwa ww wa HGL nisiwe mwongo hutaiweza competition ya kozi nzuri ambazo watu wa HGL wanaweza omba kama utachagua education sio rahisi upate chuo bora ila kwenda chuo unaenda usiwe na wasiwasi ishu ni nn utasoma
 
Competition ya watu wa arts ni kubwa mno kwa mwaka huu ila science people hata wenye div. 3 za 15 watachaguliwa baadaye kwenda chuo wakishaona wanafunzi wanaopita kwa science kwenda chuo ni wachache coz wengi wao tokeo lao ni div. 2 na 3 kwa ww wa HGL nisiwe mwongo hutaiweza competition ya kozi nzuri ambazo watu wa HGL wanaweza omba kama utachagua education sio rahisi upate chuo bora ila kwenda chuo unaenda usiwe na wasiwasi ishu ni nn utasoma
asante nmekuelewa
 
Kuna huyu mdogo wangu kapata E ya economics C ya geography na F ya math anaweza kupata chuo? jinsia ya kike ana 111 ya 14
 
Kuna huyu mdogo wangu kapata E ya economics C ya geography na F ya math anaweza kupata chuo? jinsia ya kike ana 111 ya 14
anapata coz ana cut off points ya nne so haina shida ila hatapata kozi nzuri coz hiyo combination watu wamefaulu sana na arts kwa ujumla ila chuo anapata
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom