kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
nimekua nikisikia kuwa jwtz huwa wanakua na vigezo vingi sana wakati wa kujiunga nao kwa ajili ya kuwa mwanajeshi,tafadhali naomba kwa mtu anaejua sifa na vigezo vya kujiunga jwtz anisaidie,kuanzia umri,elimu nk.natanguliza shukrani zangu kwenu