Sifa za kipekee za ndege aina ya Airbus A220-300 inavyowasili nchini Tanzania

Hivi ni kweli hawa idara ya habari hawakuona kama hili tangazo limekosewa? Sasa kama vitu vidogo kama hivi vinawashinda tutawaanini vipi kwa hayo makubwa wanayotuahidi?View attachment 975322
Kama kawaida yetu watanzania, huwa hatuna tabia ya kutafuta habari/kufuatilia taarifa, achilia mbali kujisomea vitabu. Matokeo ya mapungufu haya tumetengeneza mtaji kwa wanasiasa.

Ni ajabu wizara nzima wakiwemo viongozi waandamizi wa ATCL wasijue taarifa za utengenezaji wa ndege mbili kwa kipindi cha miaka mitatu, Ifikapo siku ya kukabidhiwa wasijue ni ndege ipi inayotangulia kati ya hizo mbili..

Wapo watu hawako makini au hawachukulii masuala ya kazi kwa uzito..... Taarifa zote za ndege ya pili ambayo inasubiri mazoezi ya kuruka zipo kwenye tovuti ya Bombardier......LABDA kama walifanya makusudi kuwaficha wabaya wao taarifa ....LAKINI??...

Hadi kufikia uamuzi wa kutoa taarifa zisizo sahihi kwa Rais mbele ya kadamnasi???.... Hii haina tofauti na, 1. ule mkenge wa kupasua kichwa badala ya goti au kinyume chake. 2.Kutangaza timu ya taifa kwenda na ndege yetu kumbe.. Hora!! na kadharika nyingi tu.:oops::oops::rolleyes::rolleyes:o_Oo_O
 
Write your reply...
AHSANTE KWA TAARIFA. WENGINE TUTAZIFAIDI KWA MACHO. TUNA KAZI MOJA KUCHOMA NYAVU
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa.
 
Ndege nzuri sana...

Nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa kuweza kuifufua upya ATCL...
 
Kwenye uzi huu wale wa kutatuliwa malinda utawajua tu maana wanakuwa na maneno flani hivi
 
Taratibu jamani! Wakati tunanunua Rada miaka ile tulishangilia na kujisifu sana,, lakini baadae SOF wakatufungua macho kuwa tumepigwa ile mbaya..
Ikabidi hao "mabeberu" watuonee huruma kuhakikisha fedha tulizo l biwa zirudi sie Kwa kuficha wizi tukaita change ya rada.
Jee hawa viongozi wa sasa hasa mzee baba mwenyewe anaweza kutuhahihishia kuwa haitatokea mambo ya "change ya ndege" hapo baadae? Na anaweza kuapa kuwa pamoja na sifa wanazopokea sasa likitokea hilo tuwafanye lolote ikiwa hata zile style za China kwa wahujumu?
Mwenye access na huko juu akaniulizie
Uzuri SOF wapo kazini,wanatunza kumbukumbu,ngoja mda ufike tutatafutana.
 
Kama kawaida yetu watanzania, huwa hatuna tabia ya kutafuta habari/kufuatilia taarifa, achilia mbali kujisomea vitabu. Matokeo ya mapungufu haya tumetengeneza mtaji kwa wanasiasa.

Ni ajabu wizara nzima wakiwemo viongozi waandamizi wa ATCL wasijue taarifa za utengenezaji wa ndege mbili kwa kipindi cha miaka mitatu, Ifikapo siku ya kukabidhiwa wasijue ni ndege ipi inayotangulia kati ya hizo mbili..

Wapo watu hawako makini au hawachukulii masuala ya kazi kwa uzito..... Taarifa zote za ndege ya pili ambayo inasubiri mazoezi ya kuruka zipo kwenye tovuti ya Bombardier......LABDA kama walifanya makusudi kuwaficha wabaya wao taarifa ....LAKINI??...

Hadi kufikia uamuzi wa kutoa taarifa zisizo sahihi kwa Rais mbele ya kadamnasi???.... Hii haina tofauti na, 1. ule mkenge wa kupasua kichwa badala ya goti au kinyume chake. 2.Kutangaza timu ya taifa kwenda na ndege yetu kumbe.. Hora!! na kadharika nyingi tu.:oops::oops::rolleyes::rolleyes:o_Oo_O
Ndege ya pili Msn 55048 yenye usajili C-FOUY imeanza kuruka kwa mara ya kwanza leo hii.
 

Attachments

  • Screenshot_2018-12-23 (1) Twitter.png
    Screenshot_2018-12-23 (1) Twitter.png
    173.1 KB · Views: 17
Back
Top Bottom