The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,453
- 17,158
Ukitaka kujua sifa ya kwanza ya kiongozi mbovu kwa Africa ni kusifiwa na Wazungu.
Kiongozi yoyote wa Afrika anaesifiwa na wazungu ujue huyo ni bure kabisa, ni bomu.
Hakuna kiongozi wa Afrika ambae analinda rasilimali na maslahi ya wananchi wake akasifiwa na wazungu, hayupo.
Na wazungu hata uwe dikteta vipi, kama huathiri maslahi yao huwezi kusemwa vibaya hata siku moja. Mfano mzuri ni Kagame. Umewahi kusikia Kagame anasemwa vibaya pamoja na kufunga wapinzani wake wote?
Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa, kwa hiyo wanajua wakimsifia kwenye media zao na kumpamba basi yeye hukenua meno na kuchanua mapaja watu wajichotee malighafi wanazotaka bila shida.
Ukiona kiongozi wenu anasifiwa na wazungu ujue mmepigwa na kitu kizito kichwani.
Kiongozi yoyote wa Afrika anaesifiwa na wazungu ujue huyo ni bure kabisa, ni bomu.
Hakuna kiongozi wa Afrika ambae analinda rasilimali na maslahi ya wananchi wake akasifiwa na wazungu, hayupo.
Na wazungu hata uwe dikteta vipi, kama huathiri maslahi yao huwezi kusemwa vibaya hata siku moja. Mfano mzuri ni Kagame. Umewahi kusikia Kagame anasemwa vibaya pamoja na kufunga wapinzani wake wote?
Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa, kwa hiyo wanajua wakimsifia kwenye media zao na kumpamba basi yeye hukenua meno na kuchanua mapaja watu wajichotee malighafi wanazotaka bila shida.
Ukiona kiongozi wenu anasifiwa na wazungu ujue mmepigwa na kitu kizito kichwani.