Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 915
Alafu sifa ya kuwa mwenyekiti wa ccm ni kupiga ngoma za kienyeji na kuogopa kiingereza huku tuna aminishwa ana PHD kumbe ni ya kupiga vigodoro??Unashangaa nini wakati sifa ya kuwa mwenyekiti wa chadema ni UDJ ni elimu ya hapa na pale?