Sifa muhimu za binti wa kuoa kuanzia 2021 na kuendelea

6WaS9

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
2,508
2,874
Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra, atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs!

Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume tofuti tofauti huyo hafai kuwa kwenye ndoa.!

Unatakiwa uoe mwanamke mgeni wa mapenzi, bikra!

Kuwa kwenye mahuasiano ya kimapenzi na mwanamke anyetoka familia ya masikini wa mali na masikini wa akili na fikra ni mbaya sana !

Kwanza familia itataka wakuuzie huyo mke wako kwa mahali kubwa wakiamnini, hizo pesa za mahali zitatua shida zao

Pili kutoka ukoo wao ukiwa kama mtu wenye uwezo basi baada a nfoa jukumu la wakwe ndugu shangazi na wajomba matatizo yao utayabeba wewe, na ukigoma kuwasaidia tayari unahatarisha ndoa yako na mahusiano ya familia yako..

Hivyo basi hakikisha unaona mwanamke anetoka familia tajiri(familia ya watu wenye roho za kitajiri, isiyo tegemezi, isiyokumbatia umasikini) usije ukabebeshwa lawama za kijinga jinga.

At least vigezo hivyo hapo vitakufanya uwe safe katika ndoa za sasa hivi na mahusiano
 
Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra ,atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs!

Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume tofuti tofauti huyo hafai kuwa kwenye ndoa.!

Unatakiwa uoe mwanamke mgeni wa mapenzi , bikra!

Kuwa kwenye mahuasiano ya kimapenzi na mwanamke anyetoka familia ya masikini wa mali na masikini wa akili na fikra ni mbaya sana !

Kwanza familia itataka wakuuzie huyo mke wako kwa mahali kubwa wakiamnini ,hizo pesa za mahali zitatua shida zao?

Pili kutoka ukoo wao ukiwa kama mtu wenye uwezo basi baada a nfoa jukumu la wakwe ndugu shnagazi na wajomba matatizo yao utayabeba wewe, na ukigoma kuwasaidia tayari unahatarisha ndoa yako na mahusiano ya familia yako..

Hivyo basi hakikisha unaona mwanamke anetoka familia tajiri(familia ya watu wenye roho za kitajiri, isiyo tegemezi, isyokumbatia umasikini) usije ukabebeshwa lawama za kijinga jinga.

Atlist vigezo hivuo hapo vitakufanya uwe safe katika ndoa za sasa hivi na mahusiano

Una umri gani
 
Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra ,atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs!

Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume tofuti tofauti huyo hafai kuwa kwenye ndoa.!

Unatakiwa uoe mwanamke mgeni wa mapenzi , bikra!

Kuwa kwenye mahuasiano ya kimapenzi na mwanamke anyetoka familia ya masikini wa mali na masikini wa akili na fikra ni mbaya sana !

Kwanza familia itataka wakuuzie huyo mke wako kwa mahali kubwa wakiamnini ,hizo pesa za mahali zitatua shida zao?

Pili kutoka ukoo wao ukiwa kama mtu wenye uwezo basi baada a nfoa jukumu la wakwe ndugu shnagazi na wajomba matatizo yao utayabeba wewe, na ukigoma kuwasaidia tayari unahatarisha ndoa yako na mahusiano ya familia yako..

Hivyo basi hakikisha unaona mwanamke anetoka familia tajiri(familia ya watu wenye roho za kitajiri, isiyo tegemezi, isyokumbatia umasikini) usije ukabebeshwa lawama za kijinga jinga.

Atlist vigezo hivuo hapo vitakufanya uwe safe katika ndoa za sasa hivi na mahusiano
Maskini huolewa kwa mahari ndogo kuliko ushuani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom