Sifa kuu ya Madikteta ni kulazimisha kupendwa, kutukuzwa na kusujudiwa...ole wako ukatae kumpenda, kumtukuza na kumsujudu!

Utasikia kwenye awamu hii tumetekeleza uchumi umepanda kwa 8%.

Tumetekeleza

Ndege
Daraja
Bara bara.
Ajira.

Sasa hizo ajira sasa ukija kitaa ulizia majibu utakayo yapata.
Nimeikubali hiyo 'Bara bara' na si Visiwani Zanzibar.
 
Mleta mada wewe ni mchonganishi, tunamuomba Mungu, asiyasikilize maneno yako.

Tafadhali usirudie tena uzi kama huu, unaiombea mabaya nchi yetu, na umetushtua na kututia hofu. InshaAllah hatutafika huko.

Duh wewe kijana balaa
 
Nitaendelea kunukuu sifa walizopewa/wanazopewa madikteta mbali mbali duniani waliopo na waliotangulia mbele za haki. Yupo moja hapa Afrika aliitwa Eyadema wa Togo...huyu alikuwa anasifiwa kwa kufanikiwa kumaliza ukame nchini Togo kwa kuwezesha mvua kunyesha na wananchi walikuwa wanaandamana kumpa asante!
Tulia kijana mbona husikii
 
Tulia kijana mbona husikii
Halafu alitokea mwingine hapa hapa Afrika...@Mkirindi, je na huyu uliwahi kumsikia?​

Emperor-Bokassa.jpg


Huyu aliitwa Jean Bedel Bokassa na alitwaa madaraka ya nchi ya Central African Republic mwaka 1965 na mwaka uliofuata akajitangazia Urais wa maisha. Hata hivyo hakuridhika na hali hiyo na hivyo akaamua kujitangaza Kaisari (Emperor) na kuibadilisha rasmi jina la hiyo na kuiita Central African Empire. Aliahidi kuinyosha nchi hiyo na kuifanyia mabadiliko makubwa hadi ifikie hadhi ya kuwa nchi bora zaidi barani Afrika.

Bokassa initially spearheaded a number of reforms in an effort to develop the Central African Republic. He sought to promote economic development with Operation Bokassa, a national economic plan that created huge nationalized farms and industries, but the plan was stymied by poor management.

He later became known for his autocratic and unpredictable policies, and his government was characterized by periodic reshuffles in which the power of the presidency was gradually increased.

In December 1976 Bokassa assumed the title Emperor Bokassa I and changed the name of his country to the Central African Empire. He was crowned a year later—in emulation of his hero, Napoleon I—in a lavish ceremony that cost more than $20 million.

By this time Bokassa’s rule had effectively bankrupted his impoverished country, and his reign as emperor proved to be short-lived. Following the substantiation of international charges that Bokassa had personally participated in a massacre of 100 schoolchildren by his imperial guard, French paratroops carried out a military coup against him that reestablished the republic and reinstated Dacko as president (September 1979). Bokassa went into exile, first traveling to Côte d’Ivoire but later settling in France.

Bokassa was sentenced in absentia to death in 1980, but he inexplicably chose to return to the Central African Republic in 1986. He was arrested and put on trial, and in 1987 he was found guilty of the murders of the schoolchildren and other crimes (although he was acquitted of charges of cannibalism). His death sentence was subsequently commuted, and he was freed in 1993. He was posthumously pardoned in 2010, in conjunction with the country’s 50th anniversary celebration.


Sherehe la kujivika taji la Ukaisari (Emperor), liligharimu jumla ya dola 20,000,000 lakini cha ajabu ni kwamba ilisusiwa na wengi ikiwa ni pamoja na madikteta rafiki zake kama Mobutu, Bongo na Idi Amin.

Jean Bedel Bokassa alisababisha wengi kuuawa nchini humo na mwaka 1979 watoto wa shule waliokuwa wakiandamana kupinga kununua unifomu za shule katika duka la mkewe Bokassa waliuawa.

Kitendo cha kuuawa kwa watoto ndicho kiliifanya nchi ya Ufaransa kuingilia kati na kumtoa mkuku Bokassa ambaye ilibidi akimbilie kwa jirani na kuusahau wadhifa wake wa Emperor wa Afrika ya Kati.

Baada ya kupewa hukumu ya kifo akiwa hayupo aliamua kurudi nyumbani ambako hukumu yake ilikuwa inamsubiri. Naam hakuna dikteta aliyewahi kuwa na mwisho mzuri na mwenye masikio na asikie.
 
Madikteta huwa na vitimbi vingi sana, mambo mengine unaweza kufikiri na hadithi za kusadikika tu.
Nitaendelea kunukuu sifa walizopewa/wanazopewa madikteta mbali mbali duniani waliopo na waliotangulia mbele za haki. Yupo moja hapa Afrika aliitwa Eyadema wa Togo...huyu alikuwa anasifiwa kwa kufanikiwa kumaliza ukame nchini Togo kwa kuwezesha mvua kunyesha na wananchi walikuwa wanaandamana kumpa asante!
 
Back
Top Bottom