Mimi mwenyewe ameniacha hoiHapo mbeya kwenye upole umewaweka hadi wanyakyusa?
Cc Heaven Sent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe ameniacha hoiHapo mbeya kwenye upole umewaweka hadi wanyakyusa?
Cc Heaven Sent
Hapo kwenye uchapakazi (domestic na uchumi) unaachaje Njombe na Iringa aisee
Nimekomaa? Unakujua kukomaa wewe?Sio kwa kukomaa huko,au ndo kwenu?!!
tabora sio mkoa?NOTE: Mikoa yote na jamii zake ni bora katika upekee wao. Huu ni mtazamo wangu kwa kadiri ya uzoefu na ujuaji wangu.
KUPENDEZA/UREMBO:
1. Dar es Salaam
2. Tanga
3. Arusha
4. Kilimanjaro
5. Mwanza
6. Mbeya
UZURI WA SURA:
1. Manyara
2. Singida
3. Arusha
4. Tanga
5. Kilamanjaro
6. Pwani
MAUMBILE YA KUVUTIA (makalio, hips,..) :
1.Tanga
2. Dar es Salaam
3. Mtwara
4. Tabora
5. Mwanza
6. Mbeya
UFAHAMU WA MAHABA:
1.Tanga
2. Pwani
3. Zanzibar
4. Mtwara
5. Dar es Salaam
6. Tabora
UCHAPAKAZI WA NYUMBANI (DOMESTIC):
1. Shinyanga
2. Mara
3. Morogoro
4. Iringa
5. Kigoma
6. Njombe
UCHAPAKAZI WA KIUCHUMI:
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3.Kigoma
4. Mwanza
5. Mbeya
6. Iringa
ELIMU:
1. Kilimanjaro
2. Kagera
3. Arusha
4. Mbeya
5. Mwanza
6. Iringa
UTULIVU/KUTULIA:
1. Shinyanga
2. Ruvuma
3. Simiyu
4. Mbeya
5. Mara
6. Njombe
UVUMILIVU:
1. Shinyanga
2. Simiyu
3. Mara
4. Ruvuma
5. Morogoro
6. Kigoma
UAMINIFU:
1. Shinyanga
2. Mbeya
3. Ruvuma
4. Mara
5. Simiyu
6. Geita
KUJITEGEMEA/INDEPENDENT:
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Mwanza
4. Kagera
5. Mbeya
6. Kigoma
UPOLE/UKARIMU:
1. Ruvuma
2. Mbeya
3. Shinyanga
4. Simiyu
5. Morogoro
6. Iringa
Incoming....., LIST YA SIFA PENDWA KWA WANAUME
HahahahHapo mbeya kwenye upole umewaweka hadi wanyakyusa?
Cc Heaven Sent
Hujitupi????Jamani jamani; sisi hatuna shape; ina maana hamuonagi misambwanda yetu? lol
😂😂😂😂😂🙆🙆🙆🙆Hahahhaa hajakosea kabisa
😂😂😂😂Jamani jamani; sisi hatuna shape; ina maana hamuonagi misambwanda yetu? lol
Hujitupi????
Wanatuonea tu gere na misambwanda yetu
Labda wanaangalia miguu
Ndio maana
Katavi vipi
Inaelekea Shy town kuzuri maana nawaona kila kona
Wale ni wabishi Kama Chadema.Hapo mbeya kwenye upole umewaweka hadi wanyakyusa?
Cc Heaven Sent
Kwahiyo sisi watu wa mtwara tuna maumbile ya kuvutia na mahaba tu
Basi tunamshukuru maulanahaha likely
Basi tunamshukuru maulana
ni kweli mkuuSi unajua hauwez pewa vyote..