Sifa kuu pendwa za mwanamke na mikoa inayongoza kwa sifa hizo

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,605
2,743
NOTE: Mikoa yote na jamii zake ni bora katika upekee wao. Huu ni mtazamo wangu kwa kadiri ya uzoefu na ujuaji wangu.

KUPENDEZA/UREMBO:
1. Dar es Salaam
2. Tanga
3. Arusha
4. Kilimanjaro
5. Mwanza
6. Mbeya

UZURI WA SURA:
1. Manyara
2. Singida
3. Arusha
4. Tanga
5. Kilamanjaro
6. Pwani

MAUMBILE YA KUVUTIA (makalio, hips,..) :
1.Tanga
2. Dar es Salaam
3. Mtwara
4. Tabora
5. Mwanza
6. Mbeya

UFAHAMU WA MAHABA:
1.Tanga
2. Pwani
3. Zanzibar
4. Mtwara
5. Dar es Salaam
6. Tabora

UCHAPAKAZI WA NYUMBANI (DOMESTIC):
1. Shinyanga
2. Mara
3. Morogoro
4. Iringa
5. Kigoma
6. Njombe

UCHAPAKAZI WA KIUCHUMI:
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3.Kigoma
4. Mwanza
5. Mbeya
6. Iringa

ELIMU:
1. Kilimanjaro
2. Kagera
3. Arusha
4. Mbeya
5. Mwanza
6. Iringa

UTULIVU/KUTULIA:
1. Shinyanga
2. Ruvuma
3. Simiyu
4. Mbeya
5. Mara
6. Njombe

UVUMILIVU:
1. Shinyanga
2. Simiyu
3. Mara
4. Ruvuma
5. Morogoro
6. Kigoma

UAMINIFU:
1. Shinyanga
2. Mbeya
3. Ruvuma
4. Mara
5. Simiyu
6. Geita


KUJITEGEMEA/INDEPENDENT:
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Mwanza
4. Kagera
5. Mbeya
6. Kigoma

UPOLE/UKARIMU:
1. Ruvuma
2. Mbeya
3. Shinyanga
4. Simiyu
5. Morogoro
6. Iringa



Incoming....., LIST YA SIFA PENDWA KWA WANAUME
 

Attachments

  • 20190910_163434.jpeg
    20190910_163434.jpeg
    56.7 KB · Views: 36
Nilienda Njombe, aisee wanawake wakibena wanafanya kazi sana, ila sijawaona kwenye list yako.

Hayo maumbo mazuri ya wanawake wa Mbeya umeyatafsiri vipi? Ni yale mamtindi makubwa yaliyozidi makalio au ni zile ndevu ( wanawake wa mbeya + southern highlands wanaongoza kwa ndevu ndevu )

Sijaona uchapakazi kwa wagogo. Labda kama hujawahi kuishi dodoma. Au zile biashara za mboga mitaani ndo zimewapa credit.

Mkuu unautafsirije ukarimu/upole? Nenda iringa ukawaone wanyalu. Ni wapole kwa kila kitu, upole ukiwashinda wanamalizia hasira zao kwenye kamba na miti, hawana shida na wewe.
 
ahsante kwa taarifa mkuu
Nilienda Njombe, aisee wanawake wakibena wanafanya kazi sana, ila sijawaona kwenye list yako.

Hayo maumbo mazuri ya wanawake wa Mbeya umeyatafsiri vipi? Ni yale mamtindi makubwa yaliyozidi makalio au ni zile ndevu ( wanawake wa mbeya + southern highlands wanaongoza kwa ndevu ndevu )

Sijaona uchapakazi kwa wagogo. Labda kama hujawahi kuishi dodoma. Au zile biashara za mboga mitaani ndo zimewapa credit.

Mkuu unautafsirije ukarimu/upole? Nenda iringa ukawaone wanyalu. Ni wapole kwa kila kitu, upole ukiwashinda wanamalizia hasira zao kwenye kamba na miti, hawana shida na wewe.
 
Nilienda Njombe, aisee wanawake wakibena wanafanya kazi sana, ila sijawaona kwenye list yako.

Hayo maumbo mazuri ya wanawake wa Mbeya umeyatafsiri vipi? Ni yale mamtindi makubwa yaliyozidi makalio au ni zile ndevu ( wanawake wa mbeya + southern highlands wanaongoza kwa ndevu ndevu )

Sijaona uchapakazi kwa wagogo. Labda kama hujawahi kuishi dodoma. Au zile biashara za mboga mitaani ndo zimewapa credit.

Mkuu unautafsirije ukarimu/upole? Nenda iringa ukawaone wanyalu. Ni wapole kwa kila kitu, upole ukiwashinda wanamalizia hasira zao kwenye kamba na miti, hawana shida na wewe.
Tutake radhi wanyaki tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom