Sifa kuu pendwa za mwanamke na mikoa inayongoza kwa sifa hizo

Turudi kwenye uhalisia. Hao wasomi wa Kagera wameleta mabadiliko gani kwenye jamii ya watanzania ?
tukiachana na huu utaratibu wa kujimwambafy kwamba wao wamesoma.
Kwani KAZI ya serikali ni nini?

Kwani siku hiz kuna utawala wa majimbo.

Si fedha zinatoka serikalini ndo zinajenga miundombinu husika.


Anyway Kwa makazi binafsi ya watu yaani nyumba za kuishi Kagera haina mpinzani tz
 
Kwani KAZI ya serikali ni nini?

Kwani siku hiz kuna utawala wa majimbo.

Si fedha zinatoka serikalini ndo zinajenga miundombinu husika.


Anyway Kwa makazi binafsi ya watu yaani nyumba za kuishi Kagera haina mpinzani tz
Hizo sentensi mbili za mwisho zinathibitisha mwafrika akipata makazi chakula na mavazi basi anahisi amefanikiwa kwa kila kitu duniani.
 
Hizo sentensi mbili za mwisho zinathibitisha mwafrika akipata makazi chakula na mavazi basi anahisi amefanikiwa kwa kila kitu duniani.
Sidhani kama Dar imejengwa na wazaramo au sijui morogoro waluguru au mwanza wasukuma.


Miji iliyoendelea yote ina mkono mkubwa wa serikali.


Just imagine wakati mikoa mingine ina stendi karibia 10 zenye lami.

Kagera mkoa wenye zaidi ya 3 million people haunaga stendi hata moja
 
Sidhani kama Dar imejengwa na wazaramo au sijui morogoro waluguru au mwanza wasukuma.


Miji iliyoendelea yote ina mkono mkubwa wa serikali.


Just imagine wakati mikoa mingine ina stendi karibia 10 zenye lami.

Kagera mkoa wenye zaidi ya 3 million people haunaga stendi hata moja
What is your point ?
 
Teh teh.. nimecheka hapo kwenye sura za baba.
Nakubali nimeona wanyaki wenye shape ziko balanced ila wachache na hawaishi unyakyusani.

Actually naipenda character yakua na msimamo, ila there's a very thin line between msimamo na ubishi/ubabe/ung'ang'anizi. Ndugu zangu wakinyaki mara nyingi huwa wanauvuka huu mstari bila kujua wakidhani bado wapo kwenye msimamo kumbe wameshaingia kwenye ubabe/ubishi.

Speaking of kushukuru, kuna mama nilimpelekea asalali lita mbili, yule mama alishukuru hadi nikataka kulia, maana anashukuru kwa majonzi as if nimemtolea figo.
Mwanamke wa kinyakyusa akikushukuru, waweza kujikuta unampa na vingine ambavyo hukuplan kumpa
 
Wale ni wabishi Kama Chadema.
Nimeshuhudia nyumba mbili za Wanyakyusa zimekimbiwa na wanaume mtaani kwetu kwa sababu ya mdomo na ubabe.
Ukiona Hadi mtu anaukimbia mjengo wake na kwenda kuanza maisha upya ujue hiyo sehemu sio mchezo.
Hahaha!!! Nimecheka kama mazuri vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom