jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,633
Miaka 1960-1980 jeshi la Tanzania lilikua ni tishio Africa.
Kwa East Africa ndyo lilikua kinara kwa ubora na kuogopeka kijeshi?
Vita ya tz na Ug ililipa headline nyingine achilia mbali kushiri ukombozi katka nchi zingine.
Lakin sasa zama zimebadilika
Uganda ya sasa si ile
Kenya nayo imepiga hatua
Kuibuka kwa Ugaidi nchi ya Msumbiji nilitegemea Budget ya jeshi iongezeke mara dufu ikifuatiwa na ulinzi wa kisasa ikiwa ni pamoja na kununuliwa kwa vifaa vya kisasa kutoka Israel, US na Russia.
Cha ajabu nchi kama Rwanda ndyo ina trendi kwene kudhibiti hao magaidi ambao hawako hata karibu nayo.
Rwanda imekua kinara wa Ukanda wa maziwa makuu, kanchi kadogo Rwanda kamekua n tishio kwa intelligensia na Kijeshi.
Kamechukua Title ya Tanzania ya nyerere miaka ile
Je, sisi tunaenda taaratibu kuwa NEXT DRC?
Mimi
Jiwekuu770
Kwa East Africa ndyo lilikua kinara kwa ubora na kuogopeka kijeshi?
Vita ya tz na Ug ililipa headline nyingine achilia mbali kushiri ukombozi katka nchi zingine.
Lakin sasa zama zimebadilika
Uganda ya sasa si ile
Kenya nayo imepiga hatua
Kuibuka kwa Ugaidi nchi ya Msumbiji nilitegemea Budget ya jeshi iongezeke mara dufu ikifuatiwa na ulinzi wa kisasa ikiwa ni pamoja na kununuliwa kwa vifaa vya kisasa kutoka Israel, US na Russia.
Cha ajabu nchi kama Rwanda ndyo ina trendi kwene kudhibiti hao magaidi ambao hawako hata karibu nayo.
Rwanda imekua kinara wa Ukanda wa maziwa makuu, kanchi kadogo Rwanda kamekua n tishio kwa intelligensia na Kijeshi.
Kamechukua Title ya Tanzania ya nyerere miaka ile
Je, sisi tunaenda taaratibu kuwa NEXT DRC?
Mimi
Jiwekuu770