KWELI MUNGU AMEMWEKA JUU:lol::lol::lol:,,,,,,, MPAKA ANASEMA HIVI..........haya wote semeni mbayaaaaaaaa mbayaaaa.wale wenye laki 2 mstari huu,laki huku alfu hasini huku,wale wa alfu kumi huku,walio na chini ya alfu kumi leteni pochi zenu niziombeeeeee ili roho wa umaskini awatokeeeee kwa jina laaaaaaaaa jina laaaa alie huko juuu toka toka pepo toka tokaaaaaaaa haya semeni bayaaaa.
Sio mbunge wa kuteuliwa na rais, ni mbunge wa viti maalum viti ambavyo upatikanaje wake kwenye vyama vyote umekaa kihisani hisani zaidi.
Alianzia na ubunge wa kuteuliwa, ailioupata kama mwaka mmoja before uchaguzi mkuu wa 2010; ubunge huo ndio ukampa platform ya kwenda kutafuta nafasi hiyo lakini sasa kupitia viti maalum.
Ana kadi ya CCM, na alitaka kuwaonyesha watu kwamba yeye siyo mdini huteua watu kutoka dini zote. Nimejaribukujibu?
hahaha kama mungu ndio anawasikiliza watumish hawa huyo mungu simtaki.
KWELI MUNGU AMEMWEKA JUU:lol::lol::lol:,,,,,,, MPAKA ANASEMA HIVI..........haya wote semeni mbayaaaaaaaa mbayaaaa.wale wenye laki 2 mstari huu,laki huku alfu hasini huku,wale wa alfu kumi huku,walio na chini ya alfu kumi leteni pochi zenu niziombeeeeee ili roho wa umaskini awatokeeeee kwa jina laaaaaaaaa jina laaaa alie huko juuu toka toka pepo toka tokaaaaaaaa haya semeni bayaaaa.
ati?...!!!
Pamoja na mapungufu yake, Mama Lwakatare ni taasisi. Hivyo ilikuwa ni muhimu sana kumteua kisiasa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.