Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 644
- 914
Bunge nchini Sierra Leone kwa kauli moja limeidhinisha Mswada utakaohakikisha kwamba Mmoja kati ya Wabunge Watatu, na theluthi moja ya Madiwani wote ni Wanawake
Hivi sasa ni Wabunge 19 tu kati ya 146 ambao ni Wanawake Nchini humo
Mswada huo sasa utaenda kwa Rais Julius Bio ili kutiwa saini kuwa Sheria, ambapo licha ya kuwa ilikuwa ahadi kuu katika kampeni zake za uchaguzi wa 2018, imechukua Miaka 3 kwa Baraza la Mawaziri kuidhinisha rasimu hiyo
……………
Sierra Leone passes bill to make women a third of MPs
The new law passed by parliament was a key promise in the 2018 election campaignImage caption: The new law passed by parliament was a key promise in the 2018 election campaign
Parliament in Sierra Leone has unanimously approved legislation that will ensure that one in three of its members, and a third of all local councillors, are women.
The bill will now go to President Julius Bio to be signed into law.
Despite it being a key promise in his 2018 election campaign, it took three years for cabinet to approve the draft.
An earlier version was withdrawn over a technicality.
Currently only 19 of Sierra Leone's 146 members of parliament are women.
Source: BBC
Hivi sasa ni Wabunge 19 tu kati ya 146 ambao ni Wanawake Nchini humo
Mswada huo sasa utaenda kwa Rais Julius Bio ili kutiwa saini kuwa Sheria, ambapo licha ya kuwa ilikuwa ahadi kuu katika kampeni zake za uchaguzi wa 2018, imechukua Miaka 3 kwa Baraza la Mawaziri kuidhinisha rasimu hiyo
……………
Sierra Leone passes bill to make women a third of MPs
The new law passed by parliament was a key promise in the 2018 election campaignImage caption: The new law passed by parliament was a key promise in the 2018 election campaign
Parliament in Sierra Leone has unanimously approved legislation that will ensure that one in three of its members, and a third of all local councillors, are women.
The bill will now go to President Julius Bio to be signed into law.
Despite it being a key promise in his 2018 election campaign, it took three years for cabinet to approve the draft.
An earlier version was withdrawn over a technicality.
Currently only 19 of Sierra Leone's 146 members of parliament are women.
Source: BBC