Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,314
- 24,177
Hawa viongozi waandamizi humu nchi wamehusika sana kwa nyadhifa zao katika suala la umeme wa IPTL na madini.
Tumeona kina Kitilya, Mramba, Mgonja na wengine wakifikishwa kwa Pilato kujibu mashitaka kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Majuzi TANESCO(soma Serikali), wamepigwa faini ya 1Trillion kutokana na mikataba iliyoridhiwa na Nimrod Mkono. https://allafrica.com/stories/201501051846.html
Kwa upande wake, pamoja na machungu yote ya makenikia, Andrew Chenge ana uhusika.
Hata idara ya Serious Crimes ya Uingereza ilibaini Chenge ana $1million huko benki za nje.Andrew Chenge - Wikipedia
Pamoja na juhudi zote za Serikali, hawa mabwana wanapeta tu.
Tumeona kina Kitilya, Mramba, Mgonja na wengine wakifikishwa kwa Pilato kujibu mashitaka kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Majuzi TANESCO(soma Serikali), wamepigwa faini ya 1Trillion kutokana na mikataba iliyoridhiwa na Nimrod Mkono. https://allafrica.com/stories/201501051846.html
Kwa upande wake, pamoja na machungu yote ya makenikia, Andrew Chenge ana uhusika.
Hata idara ya Serious Crimes ya Uingereza ilibaini Chenge ana $1million huko benki za nje.Andrew Chenge - Wikipedia
Pamoja na juhudi zote za Serikali, hawa mabwana wanapeta tu.