Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, ni kama kufahamishana tu kuwa sie tuna noti kama pesa tano yaani ya 500/=, 1000/=, 2000/=, 5000/= na 10000/= sidhani kama tuna noti zaidi ya hapo. Je wenzetu katika nchi za Afrika Mashariki wana ngapi?
Ingependeza kama mtu anazifahamu kwa kila nchi atiririke tafadhari.
Ingependeza kama mtu anazifahamu kwa kila nchi atiririke tafadhari.