Sidney Sheldon Novels: Wale waliomsoma huyu Mwamba

ila twende mbele turudi nyuma ukiachana na wale waandishi wa classic novels kama Charles dickens, sir athur conan doyle n.k n.k zama hizi za hawa modern writers kuna fundi wa mafundi wa kuitwa paulo Coelho mzee wa alchemist huyu jamaa ni shida novels zake nyingi zina madini konki sana halafu zimetafsiriwa kutoka lugha ya kireno lakini bado ni za moto
the boy's name was santiago.
 
Moja ya vitu ambavyo mpaka leo sijafanikiwa kuacha ni usomaji wa vitabu mbalimbali Fiction na Non- Fiction. Nimekutana na waandishi mbalimbali ndani na nje ya Tanzania kwa kupitia Vitabu vyao na leo hii ngependa kushare nanyi Mwandishi Nguli Sidney Sheldon.

Huyu mwandishi ni mmoja ya waandishi ninaowakubali nakumbuka mara nyingi nmekuwa hata nikikesha kusoma Novels za huyu Mwandishi.

Leo hii napenda nikupatie baadhi ya Vitabu vyake.

View attachment 1484952View attachment 1484953View attachment 1484954View attachment 1484955
Kitabu kimoja Bei gani?
 
Moja ya vitu ambavyo mpaka leo sijafanikiwa kuacha ni usomaji wa vitabu mbalimbali Fiction na Non- Fiction. Nimekutana na waandishi mbalimbali ndani na nje ya Tanzania kwa kupitia Vitabu vyao na leo hii ngependa kushare nanyi Mwandishi Nguli Sidney Sheldon.

Huyu mwandishi ni mmoja ya waandishi ninaowakubali nakumbuka mara nyingi nmekuwa hata nikikesha kusoma Novels za huyu Mwandishi.

Leo hii napenda nikupatie baadhi ya Vitabu vyake.

View attachment 1484952View attachment 1484953View attachment 1484954View attachment 1484955
Thanks
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom