sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,664
Bila kumungunya kijana upeo anao.Mimi kwangu mtu mwenye kashfa za kimapenzi(NGONO).Hata awe mzuri vipi ni janga na hatari kwa taifa hili
Unalenga kusema nin mkuu..kashfa za kimapenzi wakat mwngine huja kama ajali au?