FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Kuna jibu moja ametoa linaniumiza kichwa hadi sasa.... Kwamba kundi moja CCM linaweza kuvunjika likaanzisha chama, tena chenye nguvu pengine hata kuliko CDM???!!!!
????????????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nitarudi baadae
Harafu ngoja nione kama bado ana mpango wa kugombea Uprezidaa