abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari wadau, leo nimeona niiweke msimamo wangu juu ya chanjo sababu Maneno yamekua Mengi
Nasema hivi sichanji chanjo yoyote Ile sababu Serikali yangu ilikuwa kila nikilala nikiamka nakuta kuwa chanjo ya Corona haifai na watanzania tusikubali. Ikiwa kama viongozi wote walishiriki kutuambia hayo basi likitokea la kutokea Leo sio tu kwangu mimi hata kwa baadhi ya watanzania wengine ambao wanakataa chanjo kwa sababu ya maneno yao ya mwanzo Basi wa kulaumiwa ni Serikali
Pia ifike Hatua Serikali isituongoze kwa hisia tu sababu nchi ni moja watu wale wale lakini nashangaa Jana ilikuwa tunaambiwa hii sumu tena inaua halafu leo tunaambiwa hii dawa tena inatibu cha ajabu watu ni wale wale waliotuambia jana tena bila aibu leo ni Corona kesho itakuwa nini?
Viongozi wa Tz mbadilike
Nasema hivi sichanji chanjo yoyote Ile sababu Serikali yangu ilikuwa kila nikilala nikiamka nakuta kuwa chanjo ya Corona haifai na watanzania tusikubali. Ikiwa kama viongozi wote walishiriki kutuambia hayo basi likitokea la kutokea Leo sio tu kwangu mimi hata kwa baadhi ya watanzania wengine ambao wanakataa chanjo kwa sababu ya maneno yao ya mwanzo Basi wa kulaumiwa ni Serikali
Pia ifike Hatua Serikali isituongoze kwa hisia tu sababu nchi ni moja watu wale wale lakini nashangaa Jana ilikuwa tunaambiwa hii sumu tena inaua halafu leo tunaambiwa hii dawa tena inatibu cha ajabu watu ni wale wale waliotuambia jana tena bila aibu leo ni Corona kesho itakuwa nini?
Viongozi wa Tz mbadilike