we filipo mpuuzi kweli, mbona we haupo makini wakati wa kuandika?....... Na uwe makina na vitu .......
Acha ujinga! Hili ni jukwaa la siasa. Peleka hii thread mahali pake. Na uwe makina na vitu unavyofanya. Sio unakurupuka...
jamaa hakukatia insurance hajajifunza kwa clouds FM ilipoungua Kitega uchumi ikalipwa wakajidai tena.ilikuwa redio nzuri sana ila ilipigwa na radi mpaka sasa bado wanasuasua kuirudisha katika hali yake ya kawaida. All most ilikuwa covered lake zone.