Sibuka tv ni ya nani?

Shedafa

JF-Expert Member
May 21, 2008
802
173
Kuna channel mpya imeanza na tayari iko digital, inaitwa Sibuka TV. Kuna anayejua ni ya nani, au ndio ule utabiri ulioletwa humu kuwa mmoja wa mafisadi papa naye anaingia ulingoni kwenye media?
 
hiyo channel nimeona ikitangazwa sana na startimes....inahusu nini?
 
Inaonekana ni ya kawaida kama ITV na nyingine, ila imeanza vizuri. Maana yangu wanaonekana wamejiandaa, mchana muda mwingi wanaweka documentary na usiku movie. Jana usiku waliweka movie nzuri niliipenda. Ila bado ni test signal.
 
I think ni ya george nangale alikua mbunge wa east africa miaka ya nyuma, sasa sijui yupo wapi.
Sibuka radio ilianzia maswa shinyanga sasa nahisi wamwanzisha tv. .
 
I think ni ya george nangale alikua mbunge wa east africa miaka ya nyuma, sasa sijui yupo wapi.
Sibuka radio ilianzia maswa shinyanga sasa nahisi wamwanzisha tv. .
Asante kutujulisha, nafikiri huyu hayumo kwenye horodha ya mafisadi papa!.
 
Kuna channel mpya imeanza na tayari iko digital, inaitwa Sibuka TV. Kuna anayejua ni ya nani, au ndio ule utabiri ulioletwa humu kuwa mmoja wa mafisadi papa naye anaingia ulingoni kwenye media?

...Na hii nayo inahitaji decorder yake binafsi ama unaipata kupitia decorder gani maana kwa jinsi kila kituo cha TV kinavyotaka kuwa na Decorder yake binafsi,days are coming when sebule zetu zitakuwa zimejaa rundo la Decorder sita ama saba lakini Runinga moja! Mark ma Words.
 
Halafu jana mimi niliinasa B4U kwa kutumia antenna ya kawaida tu, je hii nayo ni ya nani??
 
...Na hii nayo inahitaji decorder yake binafsi ama unaipata kupitia decorder gani maana kwa jinsi kila kituo cha TV kinavyotaka kuwa na Decorder yake binafsi,days are coming when sebule zetu zitakuwa zimejaa rundo la Decorder sita ama saba lakini Runinga moja! Mark ma Words.


Hii mkuu inaonekana kupitia decoder ya startimes.
 
Hii mkuu inaonekana kupitia decoder ya startimes.

So, ndo marketing gani gani hiyo?!!! Ilibidi kwanza iwe Free To Air ili waungwana waijue ili kama itakuwa bakora ndipo mtu aweze kushawishika kuwa na hiyo Startimes kwa kigezo cha kuwepo na hiyo SHIBUDA!1
 
haha ATN nao wana Decoder yao wana Channels 14. kama siku tano zimepita nilikuwa naipata Emmanuel TV kupitia Free To Air Dish ghafla ikakata ikaandika scrambled channel, nikamleta fundi kurekebisha akajaribu for 3 hrs lkn wapi baadaye akaniambia hii watakuwa wameifunga, akaniambia ATN wanayo hiyo na wana decoder yao, DUH nikajua lazima wao ndo watakuwa wameipiga pini km ilivyokuwa eTV hawa wachina na TBC walivyotufanyia, nikazama mtandaoni nikapata contact za ATN nikawapigia siku ya kwanza siu za zinaita tuu, siku ya pili zikaitaa tuu tena for 2hrs then kuna jamaa akapokea, ndo akanihabarisha kwamba wana decoder ina channel 14 tbc itv na nyinginezo ndani ikiwamo na emmanuel TV, inauzwa kilo moja lkn hawajaanza kutoza malipo kwa mwezi so unapata na mpira nasikia wanaonesha champions league hawa jamaa. ni kweli itafika siku sebule nzima itajaa decoder. Kuna mshikaji napiga nae mzigo hapa ana ya DSTV, Startimes, ile ya wachina wa Zhonghua pale, tatu hizo. teheteh sijui unaangaliaje programs hapo
 
...Na hii nayo inahitaji decorder yake binafsi ama unaipata kupitia decorder gani maana kwa jinsi kila kituo cha TV kinavyotaka kuwa na Decorder yake binafsi,days are coming when sebule zetu zitakuwa zimejaa rundo la Decorder sita ama saba lakini Runinga moja! Mark ma Words.
Ahahahahahaaaaaaaah!
 
haha ATN nao wana Decoder yao wana Channels 14. kama siku tano zimepita nilikuwa naipata Emmanuel TV kupitia Free To Air Dish ghafla ikakata ikaandika scrambled channel, nikamleta fundi kurekebisha akajaribu for 3 hrs lkn wapi baadaye akaniambia hii watakuwa wameifunga, akaniambia ATN wanayo hiyo na wana decoder yao, DUH nikajua lazima wao ndo watakuwa wameipiga pini km ilivyokuwa eTV hawa wachina na TBC walivyotufanyia, nikazama mtandaoni nikapata contact za ATN nikawapigia siku ya kwanza siu za zinaita tuu, siku ya pili zikaitaa tuu tena for 2hrs then kuna jamaa akapokea, ndo akanihabarisha kwamba wana decoder ina channel 14 tbc itv na nyinginezo ndani ikiwamo na emmanuel TV, inauzwa kilo moja lkn hawajaanza kutoza malipo kwa mwezi so unapata na mpira nasikia wanaonesha champions league hawa jamaa. ni kweli itafika siku sebule nzima itajaa decoder. Kuna mshikaji napiga nae mzigo hapa ana ya DSTV, Startimes, ile ya wachina wa Zhonghua pale, tatu hizo. teheteh sijui unaangaliaje programs hapo
Sijui hii tume ya mawasiliano ipo likizo?. Kama kuhamia digital kwenyewe ndio huko mbona kazi, halafu walitutisha ooh itabidi kununua tv za digital maana baada ya 2015 kutakuwa hakuna matangazo ya analog!. Kama mtindo wenyewe ndio huu kuna sababu gani ya kubadili tv?
 
miaka kama mitano iliyopita rafiki yangu aliwahi kunieleza kuhusu RADIO SIBUKA iliyoko Maswa, Shinyanga alikua akifanya kazi rafiki yake mmoja .sifahamu kama mmiliki wa radio hiyo ndiye pia mmiliki wa TV SIBUKA. Bahati mbaya sina mawasiliano na rafiki yangu huyo tangu tulipomaliza elimu ya secondary 2004. mdau
 
haha ATN nao wana Decoder yao wana Channels 14. kama siku tano zimepita nilikuwa naipata Emmanuel TV kupitia Free To Air Dish ghafla ikakata ikaandika scrambled channel, nikamleta fundi kurekebisha akajaribu for 3 hrs lkn wapi baadaye akaniambia hii watakuwa wameifunga, akaniambia ATN wanayo hiyo na wana decoder yao, DUH nikajua lazima wao ndo watakuwa wameipiga pini km ilivyokuwa eTV hawa wachina na TBC walivyotufanyia, nikazama mtandaoni nikapata contact za ATN nikawapigia siku ya kwanza siu za zinaita tuu, siku ya pili zikaitaa tuu tena for 2hrs then kuna jamaa akapokea, ndo akanihabarisha kwamba wana decoder ina channel 14 tbc itv na nyinginezo ndani ikiwamo na emmanuel TV, inauzwa kilo moja lkn hawajaanza kutoza malipo kwa mwezi so unapata na mpira nasikia wanaonesha champions league hawa jamaa. ni kweli itafika siku sebule nzima itajaa decoder. Kuna mshikaji napiga nae mzigo hapa ana ya DSTV, Startimes, ile ya wachina wa Zhonghua pale, tatu hizo. teheteh sijui unaangaliaje programs hapo

decorder nne ni kasheshe tupu
lakini pia kitu kinachokera ni madishi, kwa anayejua sijui hao ATN decorder zao zinahitaji madishi?
 
Kuna channel mpya imeanza na tayari iko digital, inaitwa Sibuka TV. Kuna anayejua ni ya nani, au ndio ule utabiri ulioletwa humu kuwa mmoja wa mafisadi papa naye anaingia ulingoni kwenye media?

ni christina shusho
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom